Four revolution movement ni hatari sana kwa cdm

Thomas Sankra Jr

JF-Expert Member
Mar 14, 2013
418
128
Wana Bodi, sasa ni kipindi cha kusuka ama kunyoa, nawaeleza wazi kundi ili ni hatari kwa CDM chama kipenzi cha wengi hasa wenye akili timamu. FRM Membe, sitta, Mwakembe na Magufuri hawa wapambanaji wanne ni sumu ingawa wengine wana visasi na 2015 tutafute kwa kukimbilia,kundi ili ndio litapita kwa tiketi ya CCM wamejipanga sana tena sana. Naomba wana CDM popote ulipo tuikomboe tanzania na wale wana CCM wenye mapenzi mema na Tanzania bila kuikomboa tz kuwafikia wakenya tusahau kabisa na tumekwisha, sina imani na awa watu wanne, CDM twende plan B wagombea wetu wawe vijana.
Eng.Thomas Sankara Mwanamapinduzi
 
Wana Bodi, sasa ni kipindi cha kusuka ama kunyoa, nawaeleza wazi kundi ili ni hatari kwa CDM chama kipenzi cha wengi hasa wenye akili timamu, FRM la wapambanaji wanne ingawa wengine wana visasi na 2015 tutafute kwa kukimbilia maana wazi kundi ili ndio litapita kwa tiketi ya CCM maana wamejipanga sana tena sana naomba wana CDM popote ulipo tuikomboe tanzania na wale wana CCM wenye mapenzi mema na Tanzania mbila kuikomboa tz kuwafikia wakenya tusahau kabisa tumekwisha sina imani na awa watu wanne, CDM twende plan B wagombea wetu wawe vijana.Eng.Thomas Sankara Mwanamapinduzi
Wacha kuogopa vivuli.
 
mbona nimesoma zaidi ra mara mbuli haueleweki?Maelezo mareefu umeweka alama za mkato 3 na nukta 2 tu,tena sehemu isiyostahili. Inaonekana una hoja ila uwasilishaji shida. Kama umeamua kutumia lugha ya picha,zingatia bas alama za uandishi ili ueleweka kwa urahisi.
 
Ndo watu gani hao!?? na wanafanya nini!?

Anazungumzia kundi la waanzilishi wa CCJ Sitta na Mwakyembe. Hivi mbona siku hizi hawaisemi tena serikali nje ya vikao halali vya mawaziri? Siuji kama Mpendazoe akiwaona kwenye TV huwa anajisikiaje?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
mbona nimesoma zaidi ra mara mbuli haueleweki?Maelezo mareefu umeweka alama za mkato 3 na nukta 2 tu,tena sehemu isiyostahili. Inaonekana una hoja ila uwasilishaji shida. Kama umeamua kutumia lugha ya picha,zingatia bas alama za uandishi ili ueleweka kwa urahisi.

kweli nimekupata vyema swahili shida mkuu
 
tulia mkuu kama unajua siasa za nchi hii na bara la afrika kwa ujumla ila kama ni diaspora ngojea utaona ccm itakapomeguka vipande vipande hakika kama unakumbuka kilichotokea kenya wakati moi anamalizia muda wake ndio kitakachotokea kwa ccm na cdm njia ya ikulu itakua nyeupe zaidi keep tuned.
 
tulia mkuu kama unajua siasa za nchi hii na bara la afrika kwa ujumla ila kama ni diaspora ngojea utaona ccm itakapomeguka vipande vipande hakika kama unakumbuka kilichotokea kenya wakati moi anamalizia muda wake ndio kitakachotokea kwa ccm na cdm njia ya ikulu itakua nyeupe zaidi keep tuned.

nadhani siku hiyo ikijili nitatembea mbaka butiama kwa miguu na kufurahi kuona kifo cha CCM, maana ni mzigo kwa wenye akili timamu
 
majuzi mwenyekiti alitoa go ahead ya viongozi wa ccm kupita pita hapa na pale kujiandalia mazingira ya urais,domokaya nae akaja na kanusho kali la kupinga na kuzuia mwanachama yoyote ndani ya ccm kutojihusisha na kampeni zozote kabla ya kipenga hakujapulizwa, sasa hii ya kina sita,mwaki,magu,na membe ni nini hasa? hawa ndiyo wameruhusiwa rasimi?
Nape pole sana nadhani mwenyekiti wako humjui sura yake halisi,cjui utasimama upande upi sasa? mgombea wakuchoga unajua kabisa ana nguvu kuliko group hili la 4brothers
 
Four Revolution Movement.....? Mwakembe...? and Magufuri....? what exactly did you mean in this thread....?
 
watu wadogo sana hao kwanza ni wasaliti kwa sababu baadhi wamekataa kujiunga na wapambanaji
 
Hakuna mtu yeyote ndani ya CCM anayeaminika , Ni kupiga chini wote , Niko kwenye Mchakato wa kufanya Tathmini , ikiwapendeza viongozi wa CDM , SIKU YOYOTE NAWEZA KUTANGAZA NIA JIMBO LA KYELA !
 
watu wadogo sana hao kwanza ni wasaliti kwa sababu baadhi wamekataa kujiunga na wapambanaji

Sitta anatakiwa aueleza umma wa Watanzanka ni kwa nini alijenga ofisi ya spika kule Urambo. Kwani uspika ni ufalme kwamba watoto wangerithi? Fisadi aliyetumia vibaya madaraka na fedha ya umma.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Four Revolution Movement.....? Mwakembe...? and Magufuri....? what exactly did you mean in this thread....?

Ni lini Nape atawaita hawa ili kuwakanya kwani wanaenda kinyume na taratibu za chama?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom