Four cylinder Vs six cylinder

Kiongozi Mazda rx 8 nilisikia inatumia Rotary Engine, cc ndogo lakini inabugia wese kuliko hizi za piston zenye cc sawa. Ila inakuwa na nguvu sana
Ni kweli mkuu inatumia rotary engine inakula wese si mchezo na oil balaa lkn ukiiweka barabarani ni heshima mkuu inakimbia si mchezo na iko stable uzuri weight ratio yake ni 50:50 kwa hiyo kukata kona na speed kubwa sana wala sio tatizo mkuu.
 
ni sawa, kumbuka namba nilizoziweka hapo juu sio halisia ila zimetumika kuelezea uhusiano wa cylinder na cc.

pia kuna upungufu wa maneno ya kiswahili ya kuelezea mambo haya tofauti na kingereza labda ni kwa sababu mm siyajui au hayapo kabisa. mfano power, energy, force, torque zote nazijua kama nguvu kwa kiswahili japo kwa kingeleza ni nguvu zenye ujumbe tofauti.

pia mm sio mtu mwenye taaluma ya magari na injini ila nina uelewa fulani fulani.. nimejitosa baada ya kuona uzi hajapata wa kuusemea vizuri.. hata hivyo ni mwanzo mzuri kwa wenye uelewa zaidi kuweka ufafanuzi mzuri zaidi

Una maelezo mazuri sana. Nikuulize swali nje kidogo ya mada. Nissan X-Trail (2002) ni 4 cylinders, 2000cc. Gari hii inatembea 6km/Ltr hapa Dar es Salaam. Unaweza kusemaje, ni ulaji wa mafuta wa kawaida kutokana na aina au muundo wa gari au kuna part inahitaji kubadilishwa. Gari ni used from Japan.
 
Najitahidi kuelewa ulicho andika, vipi hapo una assume kuwa combustion chambers na pistons zina same measurement?
Mkuu si assume hivyo, na Assume discharge tu yanayopita kwenye hizo nozzle, combustion system sijagusia ingawa of course una matokeo pia ya matumizi ya mafuta
 
Habari wakuu naomba kuweka kwenu huu mjadala mtu anayetumia cc 2000 lakini four cylinder na anayetumia cc 2000 lakini six cylinder.
Hapo tofauti ni nin
Hapo cubic capacity ni sawa kws maana ya ujumla wake,tofauti hapo ukubwa wa chamber(cylinder) cylinder za six zitakuwa ndogo ukilinganisha na za four respectively.
 
Tunatofautina kwenye blue, kwa sababu kwa muktadha wa cylinder hizo za V6 au V4 ni sawa na simtank kama nilivyotaja. Na kwa gari simtank ni lile tank la mafuta, na koki ni zile nozzle zinazopitisha mafuta. Kwamba ukiwasha gari lenye nozeli 4 na mwenzako akawasha gari lenye nozel 6 na mwingine awashe la nozel8, katu hicho kitu ulichokisema hakipo. Kwa nadharia ya Fluid Mechanics na Discharge, nadharia yako haiko hivyo.
Concept ya tank niliyoitaja haijaangalia ile Horse power au kama gari ni full umeme (hybrid) bali ni normal case. Ulaji wa mafuta kwa normal case unazingatia concept ya uwingi wa nozzle ambazo ni zao la hizo Cylinder,na concept ya discharge capacity inakuja hapa. Hii ni elementary concept ambayo ukishaanza nayo inakufikisha kwenye uhalisia.

Mkuu unachoongea ni sawa kabisa provided cc ni tofauti, let's say kuna v4=2000cc, v6=2500, v8=3000cc.
Lakini kutokana na mleta maada hapa kauliza kuhusu engine zenye cc sawa yaani 2000cc each lakini tofauti katika namba za pistoni.
  1. Engine ya kwanza ni cc 2000 lakini pistoni 4, ambapo ni sawa na 500cc per piston
  2. Engine ya pili pia ni cc 2000 lakini pistoni 6, ambapo ni sawa na 333.3cc per piston.
Now ukiangalia hapo ni kuwa hakuta kuwa na tofauti ukiwasha gari lako la pistoni 4 na mwenzako akawasha lake la pistoni 6 kwasababu kwa sababu kwa gari lako na la mwenzako kwa kila dakika moja yatatumia ujazo sawa wa mixture ya gasi/air ila tofauti itakuja kwenye revolutions.

Ila kama ingekuwa ni cc tofauti lazima utumiaji wa mafuta ungekuwa tofauti pia.
 
Kaka nakubaliana na wewe, ILA tofauti ipo, ujazo ni sawa ila kama huyo wa Cylinder Sita atatumia masaa 2 kumaliza, huyo wa pili atatumia masaa mawili na nusu kumaliza mafuta yote. Kadri ya masaa yatakavyo kuwa mengi ndivyo umbali unaweza kuongezeka kabla ya kuongeza mafuta na hapo ndipo linapokuja swala la kuwa gari halili mafuta mengi maana unaagalia urefu wa route dhidi ya mafuta yaliyitumika. So kimsingi kila kitu kiko sawa kiujazo ila kuyamaliza kwa haraka huo ndiyo ulaji wenyewe.
 
Nahisi unataka kuelewa jambo fulani muhimu sana ila ambalo ni pana na linachanganya kwa kiasi fulani kwa sababu ufafanuzi wake unahusisha vitu vingi vya mfumo wa injini. mbaya zaidi nahisi swali lako hujaliweka vizuri kutosha kueleweka unachotaka kutofautishiwa.

hata hivyo mm ntajifanya ulikuwa unaulizia hivyo vitu kwenye gari.
4 cylinder ni tofauti na 6 cylinder kwa upande wa nguvu ya gari pia matumizi ya mafuta.

kwanza fahamu kuwa cylinder ni mtungi unaopokea mafuta na kuyachoma ili yaweze kutengeneza nguvu ya kusukuma gari. mtungi huu una kitu kiitwacho pistoni kilichozama ndani yake na kina uwezo wa kuingia ndani na kutoka mithili ya pampu ya baiskeli unapojaza upepo tairi. pistoni hupanda na kushuka ndani ya cylinder, wakati pistoni inapanda huruhusu mafuta kuingia ndani ya cyinder na wakati inashuka hukandamiza na kuunguza mafuta yaliyoingia ambayo hutengeneza nguvu ya kusukuma gari. zoezi hili hurudia rudia kwa haraka sana na ndipo gari hutembea.

kujibu swaki lako
Ukisikia 4cylinder maana yake kuna mitungi minne ya kuchoma mafuta kwa wakati mmoja.. na 6 cylinder maana yake mitungi sita ya kuchoma kwa wakati mmoja...

1. ikiwa kila cylinder ina ujazo sawa wa lita 0.5 kwenye injini ya cylinder 4 basi kwa mpigo mmoja kila cyinder ya injini itachoma mafuta hivyo cylinder 4 zitachoma o.5 * 4= 2litre (2000cc)
japo kuna vitu vingine lkn kiwango cha mafuta yanayochomwa kwa mpigo mmoja huchangia kuamua nguvu ya gari.

ikiwa hiyo gari ya 6cylinder pia kila cylinder ina ujazo wa lita 0.5 inamaana kwa mpigo mmoja mafuta yanayochomwa ni 0.5*6= 3Litre (3000cc).

kwa hesabu hizo maana yake gar ya 4cylinder itakula mafuta kidogo kuliko ya ile ya 6cylinder, pia ya 4cylinder itakuwa na nguvu kidogo kuliko ya 6cylinder

2. sasa ili gari zenye idadi tofauti ya cylinder zile kiwango sawa cha mafuta itakuwa namna hii
Ikiwa injini ya 4cylinder inkula cc 2000 maana yake kila cylinder inabugia 500cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 500cc tu, na kwa kadri vyilinder inavyoweza kuchoma mafuta mengi kwa pamoja ndivyo gari inavyokuwa sio na nguvu tu bali pia kasi japo kuna vigezo vingine vya kuamua.

ikiwa injini ya 6cyilinder inakula cc 2000 pia maana yake kila cylinder inabugia 333.3cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 333.3cc tu. hivyo kwenye mpigo mmoja kila cylinder inachoma mafuta kidogo kuliko inavyofanyika kwenye injini ya cylinder 4. hivyo gari hii itakuwa na nguvu ndogo kuliko hiyo ya cylinder 4 japo itakuwa na uwezo wa kukimbia zaidi kuliko hiyo ya cylinder 4.

Kumbuka: nahisi ni nadra sana kukuta gari yenye cylinder nyingi kuwa na cc sawa na gari yenye cylinder chache. Mara nyingi kama sio zote gari ya cylinder nyingi huwa ina cc kubwa pia.
Alteza zipo hivi zina cc 2000 ila kuna ya 4cylinder na 6
 
Nahisi unataka kuelewa jambo fulani muhimu sana ila ambalo ni pana na linachanganya kwa kiasi fulani kwa sababu ufafanuzi wake unahusisha vitu vingi vya mfumo wa injini. mbaya zaidi nahisi swali lako hujaliweka vizuri kutosha kueleweka unachotaka kutofautishiwa.

hata hivyo mm ntajifanya ulikuwa unaulizia hivyo vitu kwenye gari.
4 cylinder ni tofauti na 6 cylinder kwa upande wa nguvu ya gari pia matumizi ya mafuta.

kwanza fahamu kuwa cylinder ni mtungi unaopokea mafuta na kuyachoma ili yaweze kutengeneza nguvu ya kusukuma gari. mtungi huu una kitu kiitwacho pistoni kilichozama ndani yake na kina uwezo wa kuingia ndani na kutoka mithili ya pampu ya baiskeli unapojaza upepo tairi. pistoni hupanda na kushuka ndani ya cylinder, wakati pistoni inapanda huruhusu mafuta kuingia ndani ya cyinder na wakati inashuka hukandamiza na kuunguza mafuta yaliyoingia ambayo hutengeneza nguvu ya kusukuma gari. zoezi hili hurudia rudia kwa haraka sana na ndipo gari hutembea.

kujibu swaki lako
Ukisikia 4cylinder maana yake kuna mitungi minne ya kuchoma mafuta kwa wakati mmoja.. na 6 cylinder maana yake mitungi sita ya kuchoma kwa wakati mmoja...

1. ikiwa kila cylinder ina ujazo sawa wa lita 0.5 kwenye injini ya cylinder 4 basi kwa mpigo mmoja kila cyinder ya injini itachoma mafuta hivyo cylinder 4 zitachoma o.5 * 4= 2litre (2000cc)
japo kuna vitu vingine lkn kiwango cha mafuta yanayochomwa kwa mpigo mmoja huchangia kuamua nguvu ya gari.

ikiwa hiyo gari ya 6cylinder pia kila cylinder ina ujazo wa lita 0.5 inamaana kwa mpigo mmoja mafuta yanayochomwa ni 0.5*6= 3Litre (3000cc).

kwa hesabu hizo maana yake gar ya 4cylinder itakula mafuta kidogo kuliko ya ile ya 6cylinder, pia ya 4cylinder itakuwa na nguvu kidogo kuliko ya 6cylinder

2. sasa ili gari zenye idadi tofauti ya cylinder zile kiwango sawa cha mafuta itakuwa namna hii
Ikiwa injini ya 4cylinder inkula cc 2000 maana yake kila cylinder inabugia 500cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 500cc tu, na kwa kadri vyilinder inavyoweza kuchoma mafuta mengi kwa pamoja ndivyo gari inavyokuwa sio na nguvu tu bali pia kasi japo kuna vigezo vingine vya kuamua.

ikiwa injini ya 6cyilinder inakula cc 2000 pia maana yake kila cylinder inabugia 333.3cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 333.3cc tu. hivyo kwenye mpigo mmoja kila cylinder inachoma mafuta kidogo kuliko inavyofanyika kwenye injini ya cylinder 4. hivyo gari hii itakuwa na nguvu ndogo kuliko hiyo ya cylinder 4 japo itakuwa na uwezo wa kukimbia zaidi kuliko hiyo ya cylinder 4.

Kumbuka: nahisi ni nadra sana kukuta gari yenye cylinder nyingi kuwa na cc sawa na gari yenye cylinder chache. Mara nyingi kama sio zote gari ya cylinder nyingi huwa ina cc kubwa pia.
Mkuu nimekuelewa mpaka nimefurahhh...embu kunywa soda moja apo kwa hela yako... Kwa furaha yangu
 
Haya mambo ya CC na clyinders hua ni changamoto.Niliwahi kununua Mazda rx 8 ya 2005 ina cc 1300 na 4 clyinders ila ulaji wa mafuta ilikua 1litre inaenda km 6.5 highway ila inakimbia sana kuliko altezza na hizi gari nyingine sa saizi yake.Tatizo cc ndogo lkn mafuta inakula v8 vile
Mkuu hii gari ninachojua ni Engine yake haitumii cylinders kama za kawaida.. Inatumia rotor engine..ndo maana cc ndogo ulaji mkubwa..google rotor engine utaiona mfumo wake..upo tofauti kabisah na huu wa cylinders
 
Nahisi unataka kuelewa jambo fulani muhimu sana ila ambalo ni pana na linachanganya kwa kiasi fulani kwa sababu ufafanuzi wake unahusisha vitu vingi vya mfumo wa injini. mbaya zaidi nahisi swali lako hujaliweka vizuri kutosha kueleweka unachotaka kutofautishiwa.

hata hivyo mm ntajifanya ulikuwa unaulizia hivyo vitu kwenye gari.
4 cylinder ni tofauti na 6 cylinder kwa upande wa nguvu ya gari pia matumizi ya mafuta.

kwanza fahamu kuwa cylinder ni mtungi unaopokea mafuta na kuyachoma ili yaweze kutengeneza nguvu ya kusukuma gari. mtungi huu una kitu kiitwacho pistoni kilichozama ndani yake na kina uwezo wa kuingia ndani na kutoka mithili ya pampu ya baiskeli unapojaza upepo tairi. pistoni hupanda na kushuka ndani ya cylinder, wakati pistoni inapanda huruhusu mafuta kuingia ndani ya cyinder na wakati inashuka hukandamiza na kuunguza mafuta yaliyoingia ambayo hutengeneza nguvu ya kusukuma gari. zoezi hili hurudia rudia kwa haraka sana na ndipo gari hutembea.

kujibu swaki lako
Ukisikia 4cylinder maana yake kuna mitungi minne ya kuchoma mafuta kwa wakati mmoja.. na 6 cylinder maana yake mitungi sita ya kuchoma kwa wakati mmoja...

1. ikiwa kila cylinder ina ujazo sawa wa lita 0.5 kwenye injini ya cylinder 4 basi kwa mpigo mmoja kila cyinder ya injini itachoma mafuta hivyo cylinder 4 zitachoma o.5 * 4= 2litre (2000cc)
japo kuna vitu vingine lkn kiwango cha mafuta yanayochomwa kwa mpigo mmoja huchangia kuamua nguvu ya gari.

ikiwa hiyo gari ya 6cylinder pia kila cylinder ina ujazo wa lita 0.5 inamaana kwa mpigo mmoja mafuta yanayochomwa ni 0.5*6= 3Litre (3000cc).

kwa hesabu hizo maana yake gar ya 4cylinder itakula mafuta kidogo kuliko ya ile ya 6cylinder, pia ya 4cylinder itakuwa na nguvu kidogo kuliko ya 6cylinder

2. sasa ili gari zenye idadi tofauti ya cylinder zile kiwango sawa cha mafuta itakuwa namna hii
Ikiwa injini ya 4cylinder inkula cc 2000 maana yake kila cylinder inabugia 500cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 500cc tu, na kwa kadri vyilinder inavyoweza kuchoma mafuta mengi kwa pamoja ndivyo gari inavyokuwa sio na nguvu tu bali pia kasi japo kuna vigezo vingine vya kuamua.

ikiwa injini ya 6cyilinder inakula cc 2000 pia maana yake kila cylinder inabugia 333.3cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 333.3cc tu. hivyo kwenye mpigo mmoja kila cylinder inachoma mafuta kidogo kuliko inavyofanyika kwenye injini ya cylinder 4. hivyo gari hii itakuwa na nguvu ndogo kuliko hiyo ya cylinder 4 japo itakuwa na uwezo wa kukimbia zaidi kuliko hiyo ya cylinder 4.

Kumbuka: nahisi ni nadra sana kukuta gari yenye cylinder nyingi kuwa na cc sawa na gari yenye cylinder chache. Mara nyingi kama sio zote gari ya cylinder nyingi huwa ina cc kubwa pia.
Ufafanua vizuri kabisa and this is a fact
 
Injini ya gari langu ni 5.7L V8, kwa hiyo ninasoma 2000 cc cylinder 6 ninakuwa kama siamini ninachosoma, kwani nafikiri 2000 cc ni kama lita mbili tu. Kwa injini kama hiyo kuwa na cylinder sita ina maana itakuwa na vipistoni vidogo sana katika karne hii, hivyo sehemu ya energy inapotea bure kukabiliana na friction baina ya moving parts.
 
Umejibu kihandisi kabisa. Na umefafanua vema kabisa mkuu.
Kwa kuongezea na kwa muktadha wa swali ufafanuzi mdogo ni kuwa kwa mfano una tank zako say SIM TANKS ZA LITA 2000 ziwe mbili. Kisha ukajaza maji kwa ujazo huo wa Lita 2000 full capacity. Baadae kwenye Tank lako moja ukaweka cork 4 na lingine ukaweka cork 6. Halafu kwa wakati mmoja ukafungu koki za kila tank.
Maana yake hapo ni kuwa tank lenye cork6 zitatoa maji mengi na kuwahi kumaliza maji yote, wakati tank lenye cork4 litachelewa, na kimahesabu ya kawaida, lile lenye Cork 6 lina uwezo mara moja na nusu.
Hivyo kwa ulaji wa mafuta nadharia iko hivyo, sasa kwa engine ya gari pia inahusisha na nguvu kubwa kwa V6 Kuliko v4.
Inategemea na izo cork umeweka za ukubwa gani...je zote zinalingana? We huoni kama umeweka cork 6 za inch 1 alafu ukaweka cork 4 za nchi 2 ni vitu tofauti? Ivo ndo ilivo kwny piston....kuna piston nyngne ni chache ila kubwa kiumbo....nyngne nyng ila ndogo kiumbo...inapokua kubwa pigo lake moja ni takatifu.
 
Nahisi unataka kuelewa jambo fulani muhimu sana ila ambalo ni pana na linachanganya kwa kiasi fulani kwa sababu ufafanuzi wake unahusisha vitu vingi vya mfumo wa injini. mbaya zaidi nahisi swali lako hujaliweka vizuri kutosha kueleweka unachotaka kutofautishiwa.

hata hivyo mm ntajifanya ulikuwa unaulizia hivyo vitu kwenye gari.
4 cylinder ni tofauti na 6 cylinder kwa upande wa nguvu ya gari pia matumizi ya mafuta.

kwanza fahamu kuwa cylinder ni mtungi unaopokea mafuta na kuyachoma ili yaweze kutengeneza nguvu ya kusukuma gari. mtungi huu una kitu kiitwacho pistoni kilichozama ndani yake na kina uwezo wa kuingia ndani na kutoka mithili ya pampu ya baiskeli unapojaza upepo tairi. pistoni hupanda na kushuka ndani ya cylinder, wakati pistoni inapanda huruhusu mafuta kuingia ndani ya cyinder na wakati inashuka hukandamiza na kuunguza mafuta yaliyoingia ambayo hutengeneza nguvu ya kusukuma gari. zoezi hili hurudia rudia kwa haraka sana na ndipo gari hutembea.

kujibu swaki lako
Ukisikia 4cylinder maana yake kuna mitungi minne ya kuchoma mafuta kwa wakati mmoja.. na 6 cylinder maana yake mitungi sita ya kuchoma kwa wakati mmoja...

1. ikiwa kila cylinder ina ujazo sawa wa lita 0.5 kwenye injini ya cylinder 4 basi kwa mpigo mmoja kila cyinder ya injini itachoma mafuta hivyo cylinder 4 zitachoma o.5 * 4= 2litre (2000cc)
japo kuna vitu vingine lkn kiwango cha mafuta yanayochomwa kwa mpigo mmoja huchangia kuamua nguvu ya gari.

ikiwa hiyo gari ya 6cylinder pia kila cylinder ina ujazo wa lita 0.5 inamaana kwa mpigo mmoja mafuta yanayochomwa ni 0.5*6= 3Litre (3000cc).

kwa hesabu hizo maana yake gar ya 4cylinder itakula mafuta kidogo kuliko ya ile ya 6cylinder, pia ya 4cylinder itakuwa na nguvu kidogo kuliko ya 6cylinder

2. sasa ili gari zenye idadi tofauti ya cylinder zile kiwango sawa cha mafuta itakuwa namna hii
Ikiwa injini ya 4cylinder inkula cc 2000 maana yake kila cylinder inabugia 500cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 500cc tu, na kwa kadri vyilinder inavyoweza kuchoma mafuta mengi kwa pamoja ndivyo gari inavyokuwa sio na nguvu tu bali pia kasi japo kuna vigezo vingine vya kuamua.

ikiwa injini ya 6cyilinder inakula cc 2000 pia maana yake kila cylinder inabugia 333.3cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 333.3cc tu. hivyo kwenye mpigo mmoja kila cylinder inachoma mafuta kidogo kuliko inavyofanyika kwenye injini ya cylinder 4. hivyo gari hii itakuwa na nguvu ndogo kuliko hiyo ya cylinder 4 japo itakuwa na uwezo wa kukimbia zaidi kuliko hiyo ya cylinder 4.

Kumbuka: nahisi ni nadra sana kukuta gari yenye cylinder nyingi kuwa na cc sawa na gari yenye cylinder chache. Mara nyingi kama sio zote gari ya cylinder nyingi huwa ina cc kubwa pia.
Upo sahihi kabisa.
Kumrahisishia kwanini 4cylinder engine 2000cc and 6cylinder engine 2000cc.
Kama wewe ulivyoainisha ya kuwa tofauti yake kwa lugha yetu, na kiutaalam tunasema zimetofautiana ktk bore and stroke.
Sasa kwa nini muundo wa engine uwe tofauti lkn cc ziwe sawa?

2000cc 4cylinder=bore kubwa na stroke kubwa
-Ni nzuri kwa matumizi ya mjini with low consumption ya mafuta at low speed.
-high consumption ya mafuta ktk masafa marefu
-ktk masafa marefuni rahisi kutumia engine up 95% kitu ambacho kinamaliza uhai wa engine.

2000cc 6cylinder=bore ndogo na stroke ndogo
-Ni nzuri kwa matumizi ya masafa, au safari ndefu sio mjini
-High consumption ya mafuta at low speed.
-Ktk masafa marefu engine hutumika up to 80% uhai wa engine unakuwa mrefu.
 
Upo sahihi kabisa.
Kumrahisishia kwanini 4cylinder engine 2000cc and 6cylinder engine 2000cc.
Kama wewe ulivyoainisha ya kuwa tofauti yake kwa lugha yetu, na kiutaalam tunasema zimetofautiana ktk bore and stroke.
Sasa kwa nini muundo wa engine uwe tofauti lkn cc ziwe sawa?

2000cc 4cylinder=bore kubwa na stroke kubwa
-Ni nzuri kwa matumizi ya mjini with low consumption ya mafuta at low speed.
-high consumption ya mafuta ktk masafa marefu
-ktk masafa marefuni rahisi kutumia engine up 95% kitu ambacho kinamaliza uhai wa engine.

2000cc 6cylinder=bore ndogo na stroke ndogo
-Ni nzuri kwa matumizi ya masafa, au safari ndefu sio mjini
-High consumption ya mafuta at low speed.
-Ktk masafa marefu engine hutumika up to 80% uhai wa engine unakuwa mrefu.

ufafanuzi malidhawa kabisa huu...kutoa uelewa wa ziada maana ya maneno bore-ni kipenyo cha cylinder wakati stroke-ni urefu wa piston au tuseme ni umbali ambao pistoni inatembea ndani ya cylinder.

ndio maana ufaanuzi wa huyu bwana unaonyesha unapokuwa na bore(kipenyo kikubwa cha cylinder) kubwa lazima pawe na stroke(pistoni itembee umbali zaidi ndani ya cylinder) kubwa pia.
 
Habari wakuu naomba kuweka kwenu huu mjadala mtu anayetumia cc 2000 lakini four cylinder na anayetumia cc 2000 lakini six cylinder.
Hapo tofauti ni nin
Nachojua ni Cylinder 4 haili mafuta maana zinafunguka piston 4 so haichanganyi mapema, lakini Piston 6 inakula mafuta na inachanganya fasta! Gari kama Mark X ambayo ina pistoni 6 ukikanyaga tu ni fasta haupo, gari kama Vx V8 ukipiga tu unahama fasta! Lakini Mafuta ndiyo shughuli
 
good pia six mara zote huwa haitoi muungurumo mkubwa km four na hii inachangiwa na kuwa na cyrinder nyingi zaidi ya gari zenye four. chukulia mfano pikipiki yenye piston moja au mashine ya disel yenye piston zilivyo na kelele
ni kweli kwa kadri ingine inavyokuwa na cylinder nyingi ndivyo kiwango cha kelele inachozalisha hupungua
 
Cylinder zinawakilisha Horsepower (HP) ni kipimo cha nguvu zinazotumiwa au zinazozalishwa katika engine ya gari ambazo zinaanzia 4 mpka 12 au vinajulikana kama V4 ,V6,V8na V12 wakati cc, inasimamia kwa sentimita za ujazo kipimo ni 1/100 ya lita moja ya mafuta. rating ya mafuta katika injini horsepower kwa kawaida inatolewa na mtengenezaji kwa kasi maalum ya injini.
Maelezo mazuri sana.
 
Back
Top Bottom