Former SEALs and CIA operatives to launch campaign blasting Obama over leaks and bragging over bin L

Tatizo siyo kuwa hatoi. Tatizo ni kuwa anaKWEPA kulipa kwa kusajili baadhi ya mali zake nje ya USA.

Ushahidi uko wapi kuwa anakwepa kulipa? Hivi mami unaijua IRS wewe au unaisikia tu? Yaani ukwepe kulipa kodi na wewe ni mtu prominent hivyo? Hahahaaa huijui IRS wewe.

Hili jambo limelalamikiwa sana kwa sababu ni ukwepaji wa kodi kwa kutumia sheria.

Ushahidi uko wapi? Au maneno ya kibabu Harry Reid wewe unayapokea kama msahafu?

Pamoja na kuwa Sheria unakuwa hujavunja, ila dhamira je?

Kama hujavunja sheria basi ni haujavunja. Hayo mambo ya dhamira ni mambo ya kusadiki tu.

Ni sawa na Baba kuowa Binti yake aliyemaliza miaka 18 nchi ambazo hazikatazi. Sheria itakuwa haijavunjwa ila dhamira!?

Mfano mbovu huo. Utalinganishaje baba kumuoa mwanae wa kumzaa na maneno maneno ya umbea kuwa Romney ana akaunti nchi za nje? Yaani ni mambo mawili tofauti kabisa. Tafuta mfano mwingine.

Utatakaje kuwa Rais wa nchi wakati hata kodi unalipia nchi nyingine?

Uongo huu. Kama kodi halipii Marekani iweje sasa a-file tax returns zake Marekani?
 
Mitt Romney's Secret Weapon: Tax Havens For All - Rick Newman (usnews.com)

Political strategists seem to think that Mitt Romney's Swiss bank account and his secretive offshore investment funds are a liability with voters.
Not with me. In fact, Mitt Romney could easily win my vote if he would do one simple thing: Tell me how I can be more like him.

You see, I want my own offshore tax haven. Several in fact, since that seems to be how all the big boys manage their money. Vanity Fair recently reported that Romney has a stake in at least 12 investment funds organized in the Cayman Islands that are linked to his old firm, Bain Capital. Romney's share, according to VF, is worth at least $30 million. He has other investments in Bermuda and perhaps in Luxembourg.
We all should. First, everybody knows you can't trust American banks any more. They only pay 0.00003 percent interest on deposits, plus they charge you $5 every time you wipe your feet on the carpet in their lobby.
So why not travel to Bermuda or the Caymans when you feel like visiting your money, where they serve mai-tais every time you stop in to check your balance, instead of encouraging you to visit the website and stay the hell away from the overpaid tellers? In fact, if my money were based in a tropical locale, I'd probably visit it more often, which would enhance my financial literacy and make me a more responsible spender. Or saver. Or whatever we're supposed to do with our money.
I could also use the tax break for parking my money overseas, whatever that amounts to, because my income hasn't been keeping up with the earnings of the 1 percent. In fact, if Romney were to become president and institute offshore investment vehicles for the masses, he might solve two problems at once by cutting the tax burden for the middle class until it's as low as it is for the wealthy, while starving the government of tax revenue and forcing Medicare recipients to pay their own damn medical bills.

 
Romney is a moron cheese head who doesn't have any substance to convince people with brains to vote for him.

I am talking about third party. Ujinga wangu niachie mwenyewe. Hapa tuongelee third parties without personal attacks. Wanaoshindwa kuwa na utambuzi wa mambo si wale wenye mikia tu hata two legged animals can qualify.

Hayo uliyoandika kuhusu Romney siyo personal attack?
 
It is if you are Romney!. Are you Romney? sir!.............

Do I have to be him to see a personal attack?

If you want consistency then start with being consistent yourself.

You can't call him names and then come and tell me we should refrain from personal attacks.
 
Do I have to be him to see a personal attack?

If you want consistency then start with being consistent yourself.

You can't call him names and then come and tell me we should refrain from personal attacks.

If it hurts you for me calling Romney those names!, it hurts me too for you calling me 'mjinga'. Now we can argue on substances
 
If it hurts you for me calling Romney those names!, it hurts me too for you calling me 'mjinga'. Now we can argue on substances

It doesn't hurt me a bit!

I'm just calling you out on your hypocrisy.

One who urges others to refrain from name calling is also the one who indulges in it.

That is stupid.

If you can't take your own advice then don't advise others.
 
hao SEALs wametumwa?, mbona waliomba ruhusa na bajeti kutoka kwa Obama!, angekataa je!?
 
Tatizo siyo kuwa hatoi. Tatizo ni kuwa anaKWEPA kulipa kwa kusajili baadhi ya mali zake nje ya USA.

Hili jambo limelalamikiwa sana kwa sababu ni ukwepaji wa kodi kwa kutumia sheria.

Pamoja na kuwa Sheria unakuwa hujavunja, ila dhamira je?

Ni sawa na Baba kuowa Binti yake aliyemaliza miaka 18 nchi ambazo hazikatazi. Sheria itakuwa haijavunjwa ila dhamira!?

Utatakaje kuwa Rais wa nchi wakati hata kodi unalipia nchi nyingine?
Romney na mke wake wanacheza na maneno,wanasema "we pay taxes",lakini hawajawahi kusema "we pay income taxes".Kuna utofauti mkubwa hapo.Na ndo maana Harry Reid alisema Romney hajalipa income tax for ten years.

Kuna mambo mengi akirelease tax return just for six years,basi huo u nominee asiungeupata.Kuna makampuni yenye akaunti nje ambayo baada ya kutokea scandal,yaliingia mkataba na serikali kwamba wajitokeze,kwa misingi kwamba yatasamehewa,na the only way kufahamu kama na yeye kampuni yake ni miongoni mwa zilizosamehewa ni kwa kupitia tax return zake.Hili la tax return halitamwacha kamwe,hata wenzake walisema inawezekana madhara anayoyapata sasa hivi ni madogo ukilinganisha na yle ambayo yangempata kama ange release tax return zake...
 
obama namfananisha na kikwete, uwenda akapoteza au akapita kwa ushindi kiduchu,kiukweli ameisha
 
Republicans hamna kitu mwaka huu ndo maana wanajikita na siasa za maji taka kila kukicha....wamwazime Nape awasaidie kupika majungu!
 
obama namfananisha na kikwete, uwenda akapoteza au akapita kwa ushindi kiduchu,kiukweli ameisha

Siasa za marekani ni tofauti sana mkuu.Bottomline,watu wanapiga kura for what's at stake si kama hao wakwetu kwenye watu wenye kupigakura wakishapewa pilau,kanga na pombe.

Issue zitakazo determine ni kadhaa,this time around its the "economy stupid",pamoja na the fact kwamba "obamacare" ipo hatarini kwa wale wenye kuisapoti(wengi ni low income people. Na minorities ambao hata hivyo wameshaanza kuundiwa mizengwe through voter id).

Jambo jingine ni taxes za Bush ambazo ziko set ku expire january 2013 kama sikosei.Wananchi wamegawanyika kuhusiana na hilo,kuna wenye kusapoti hoja ya Obama kuwa tax cuts kwasasa ni muhimu kwa middle class pamoja na small businesses zenye mapato ya mwaka yasiyozidi $250,000 kama sikosei.Na mpango wa Obama pia umezingatia kupambana na defict kwa upande mmoja na kwa upande mwingine,kuhakikisha kwamba middle class can spend and thats how the economy can move forward.Kwa kuwapatia wananchi wenye kuhitaji pesa za kutumia kustimulate uchumi,na si za kupeleka kwenye akaunti za nje kukwepa kodi nk.

Kwa kifupi sana tu,kuna hoja ambazo ikifika wakati wa kupiga kura,wananchi watalazimika kwenda kumchaguwa wanayeona anafaa kwasababu tofauti ya Romney na Obama policywise ni kubwa mno!
 
Republicans hamna kitu mwaka huu ndo maana wanajikita na siasa za maji taka kila kukicha....wamwazime Nape awasaidie kupika majungu!

Huu ndiyo unazi sasa.

Yaani kabisa wewe unataka kuniambia kuwa wenye siasa za maji taka ni Republicans tu? How can you say that with a straight face?

Huoni Dems na super PACs zao wanavyompaka matope Romney? Au ndo yale yale ya akinya kuku kanya ila bata anaharisha?
 
Huu ndiyo unazi sasa.

Yaani kabisa wewe unataka kuniambia kuwa wenye siasa za maji taka ni Republicans tu? How can you say that with a straight face?

Huoni Dems na super PACs zao wanavyompaka matope Romney? Au ndo yale yale ya akinya kuku kanya ila bata anaharisha?

Madongo yanarushwa pande zote ni kweli lakini ni nani aliyeanza hii mipasho?? mpaka kufikia hatua ya kuhoji uzaliwa wa mtu pamoja na elimu yake??
 
Madongo yanarushwa pande zote ni kweli lakini ni nani aliyeanza hii mipasho?? mpaka kufikia hatua ya kuhoji uzaliwa wa mtu pamoja na elimu yake??

Hivi kwenye siasa kweli unaweza ukasema with surgical precision nani kaanza madongo?

The waters are so muddy that you can't pinpoint the starting or the end point of the mud slinging.
 
Hivi kwenye siasa kweli unaweza ukasema with surgical precision nani kaanza madongo?

The waters are so muddy that you can't pinpoint the starting or the end point of the mud slinging.

Republicans started earlier from the primaries....
 
Back
Top Bottom