Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,097
- 920
Form six kutokana na waraka wa wizara elimu ,mtihani utafanyika mwezi wa tano wiki ya kwanza.sasa haijajulikana kama,utakuwa na effect kwa 4m 6 wa sasa.kama una la zaid au ukweli wowote tupia hapa.mana bado ina changanya,waalimu wenyewe hawajajua bado zaid kuhugru hili