Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Ukiwa na Credit mbili
hukidhi vigezo vya kuingia kidato cha tano na hutakiwi kufanya mtihani
wa kidato cha sita.Ila unaweza kwenda hizi shule za Private (at your own
risk) kusoma huku ukijiandaa kurudia mtihani wa kidato cha nne,mungu
bariki ukifaulu na kupata credit moja au zaidi basi inakua umetatua
tatizo maana itakapofika mda wa kujiandikisha kufanya mtihani wa kidato
cha sita utajaza zile fomu na kuonesha credits ulizonazo ambazo zitakua
tatu au zaidi.Ila usipofaulu huo mtihani wa kidato cha nne unaorudia
basi hutoweza kufanya mtihani wa kidato cha sita kwa sababu hutokidhi
vigezo;Utakua umepoteza muda wako pamoja na pesa zako,Ila vizuri uchukue
hiyo risk.

hapo nimekupata vizuri mkuu,likini kuna mkuu anadai eti siku hizi ni lazima ku resit masomo yote na sio uliyo feli tu? maana ukiangalia m atokeo ya resiters mwaka huu yanaonesha kuna watu walili resit masomo mawili je mkuu hii ni kweli?
 
Huwa najiuliza hivi ni lazima mtu afike A-level, hizo nguvu za ku-resit kwanini asizitumie kusoma chuo certificate level then Diploma, at the time wale ambao alisoma nao wanamaliza Form 6 yeye anakuwa mwaka wa kwanza Diploma kwani unaweza uka resit alafu ukafaulu hilo somo unakuja kwenye mtihani wa kidato cha 6 unachemka tena unaanza tena ku-resit form 6 kutokana na kwamba ulikuwa unasoma masomo ya A level na wakati huo huo unatafuta credit. Na ukweli unabaki palepale alisoma miaka 4 na akashindwa kupata credit 3 katika masomo 7, leo hii achomoke while anasoma masomo ya kidato cha 5 na 6, unless kama huyo msichana alikuwa yupo vizuri O level ila wakati anafanya mtihani alikuwa anaumwa akaamua kufanya hivyo hivyo bahati mbaya ndio matokeo yakawa hivyo lakini kama alikuwa miaka 4 yote amesoma bila vikwazo na akapata hicho alichopata nachomshauri aelekee upande mwingine wa Certificate then Diploma atafika tu University bila shida kwani kila mmoja ana njia yake ya kufika University vinginevyo aamue tu kutafuta kwanza credit then akifaulu ndio aende form 5 kwani utaratibu unasema mtu anaingia form 5 akiwa na credit 3 waliofanya hivi walikuwa na imani kwamba mwenye credit 3 anamudu misukosuko ya elimu ya kidato cha tano na ndio maana shule makini haziwezi kumchukua mtu ambae hana credit alafu wamshauri asome huku ana resit (ni sawa na chuo huingii mwaka mwingine mpaka uweke sawa supplementary yako
 
Kwa kukushauri, huo utaratibu serikali ilishaufuta.
Wakati wa usaji wa form VI wanazingatia sana umemaliza form mwaka gani.
 
Kwa kukushauri, huo utaratibu serikali ilishaufuta.
Wakati wa usaji wa form VI wanazingatia sana umemaliza form mwaka gani.

Ni kweli kabisa mkuu,lakini mbona ukiangalia matokeo ya resiters yanaonesha kuna watu wali resit masomo mawili?
 
Kwa kukushauri, huo utaratibu serikali ilishaufuta.
Wakati wa usaji wa form VI wanazingatia sana umemaliza form mwaka gani.

Mr. Madevu,waweza kutueleza utaratibu wa sasa,.Hasa mahusiano ya na mwaka uliomaliza kidato cha nne na kujisajiri kurudia mtihani wa kidato cha nne:Maana wengine tulimaliza kidato cha nne zaidi ya muongo mmoja mambo mengi yatakua yamebadilika na hatuna taarifa,Mkuu,naomba utujuze huo utaratibu mpya..
 
Mr. Madevu,waweza kutueleza utaratibu wa sasa,.Hasa mahusiano ya na mwaka uliomaliza kidato cha nne na kujisajiri kurudia mtihani wa kidato cha nne:Maana wengine tulimaliza kidato cha nne zaidi ya muongo mmoja mambo mengi yatakua yamebadilika na hatuna taarifa,Mkuu,naomba utujuze huo utaratibu mpya..
Kweli kabisa mkuu, angetujuza huo utaratibu mpya ukoje!
 
ushaur wangu soma chuo,tafta cert,then diploma na .........BT KURIST UNAJITAFTIA MOTO NIULIZE MIE NILIESOTA NIKAJIFUNZA WANANGU HAWATARISIT BORA ARUDIE FORM TWO
 
Kama unatafuta credit moja ni sawa haitakusumbua sana we kama una credit ya chemistry na geography fanya urisit masomo matano biology,kiswahil,civics,english na hstry il uweze kuokota credt yyote kwa sabab sheria ya baraza mwanafunzi awe na credit tatu alaf awe amefaulu masomo mawili kwenye comb yake kwa hiyo we kakomae.
 
Mr. Madevu,waweza kutueleza utaratibu wa sasa,.Hasa mahusiano ya na mwaka uliomaliza kidato cha nne na kujisajiri kurudia mtihani wa kidato cha nne:Maana wengine tulimaliza kidato cha nne zaidi ya muongo mmoja mambo mengi yatakua yamebadilika na hatuna taarifa,Mkuu,naomba utujuze huo utaratibu mpya..

Utaratibu uko hivi:
Unaweza kusajili masomo hata matatu tu, unaruhusiwa.
Ila ukitaka kuendelea kidato cha tano huku unarisiti ujue utafanya mtihani kama PC ila ukitaka ufanye mtimahi kama school candidate inakubidi urisiti kwanza ndipo ujiunge na kidato cha tano.
Mtindo wa kuendelea na kidato cha tano huku unarisiti ulipigwa stop na serikali kitambo.
Na wanazingatia sana huo utaratibu kwani wakati wa usajili ni lazima uoneshe umerudia mara ngapi sasa wakikuta mwaka uliorisiti unafuatana na mwaka unaotakiwa kufanya mtihani wako wa kidato cha sita hawatakubali usajiliwe kama school candidate.
 
Huwa najiuliza hivi ni lazima mtu afike A-level, hizo nguvu za ku-resit kwanini asizitumie kusoma chuo certificate level then Diploma, at the time wale ambao alisoma nao wanamaliza Form 6 yeye anakuwa mwaka wa kwanza Diploma kwani unaweza uka resit alafu ukafaulu hilo somo unakuja kwenye mtihani wa kidato cha 6 unachemka tena unaanza tena ku-resit form 6 kutokana na kwamba ulikuwa unasoma masomo ya A level na wakati huo huo unatafuta credit. Na ukweli unabaki palepale alisoma miaka 4 na akashindwa kupata credit 3 katika masomo 7, leo hii achomoke while anasoma masomo ya kidato cha 5 na 6, unless kama huyo msichana alikuwa yupo vizuri O level ila wakati anafanya mtihani alikuwa anaumwa akaamua kufanya hivyo hivyo bahati mbaya ndio matokeo yakawa hivyo lakini kama alikuwa miaka 4 yote amesoma bila vikwazo na akapata hicho alichopata nachomshauri aelekee upande mwingine wa Certificate then Diploma atafika tu University bila shida kwani kila mmoja ana njia yake ya kufi

kiukweli mkuu,huyu binti ni mzuri academically, na mtihani alifanya huku anaumwa jipu kwenye mkono hivyo kuandika ilikuwa ni tabu!
 
Utaratibu uko hivi:
Unaweza kusajili masomo hata matatu tu, unaruhusiwa.
Ila ukitaka kuendelea kidato cha tano huku unarisiti ujue utafanya mtihani kama PC ila ukitaka ufanye mtimahi kama school candidate inakubidi urisiti kwanza ndipo ujiunge na kidato cha tano.
Mtindo wa kuendelea na kidato cha tano huku unarisiti ulipigwa stop na serikali kitambo.
Na wanazingatia sana huo utaratibu kwani wakati wa usajili ni lazima uoneshe umerudia mara ngapi sasa wakikuta mwaka uliorisiti unafuatana na mwaka unaotakiwa kufanya mtihani wako wa kidato cha sita hawatakubali usajiliwe kama school candidate.

Mr. Madevu,Hapo nimekupata vizuri,Asante sana..Issue hapo ni kua na cheti kilichoandikwa Private Candidate au School Candidate,
 
Utaratibu uko hivi: Unaweza kusajili masomo hata matatu tu, unaruhusiwa. Ila ukitaka kuendelea kidato cha tano huku unarisiti ujue utafanya mtihani kama PC ila ukitaka ufanye mtimahi kama school candidate inakubidi urisiti kwanza ndipo ujiunge na kidato cha tano. Mtindo wa kuendelea na kidato cha tano huku unarisiti ulipigwa stop na serikali kitambo. Na wanazingatia sana huo utaratibu kwani wakati wa usajili ni lazima uoneshe umerudia mara ngapi sasa wakikuta mwaka uliorisiti unafuatana na mwaka unaotakiwa kufanya mtihani wako wa kidato cha sita hawatakubali usajiliwe kama school candidate.
big up mkuu! lkn yy hajajisajiri mwaka huu, anataka asome kwanza five na wenzake ili mwaka unaokuja ndo afanye usajiri, kwa maana hiyo atasoma five mara mbili!
 
ushaur wangu soma chuo,tafta
cert,then diploma na .........BT KURIST UNAJITAFTIA MOTO NIULIZE MIE
NILIESOTA NIKAJIFUNZA WANANGU HAWATARISIT BORA ARUDIE FORM TWO

mkuu mbona mtu ukipambana una pass tu, sema ni effort ya mtumwenyewe,kama ndo uzembe mwingi kufeli must!
 
Nenda kasome ila komaa sio unachanganya na vitu vinginevingine utapoteza muda rafiki acha unyambafu otherwise utapigachin
 
mkuu sizinga! masomo ya sayansi wanachukua total point ngapi?
kuna mdogo wangu kapata div. 3 point 24 na ana B/maths C, Biology C, Civics C, Kiswahili C na the rest ana D
mfano PCM ana DDC, PCB ana DDC, EGM ana DC na PGM ana DDC

mshahara wenyewe wakulenga na manati huu, nijue kabisa kama anaenda private nianze michakato ya kukaba wabunge wakikatiza anga zangu.

Itakuwa vigumu sana kumchagua science kwa sabab conbination zake hazijabalance kabisa......jaribu kufanya process za kumpeleka private
 
Itakuwa vigumu sana kumchagua science kwa sabab conbination zake hazijabalance kabisa......jaribu kufanya process za kumpeleka private
mkuu dogo yupo Chief Mwang'ombe High school ndo wanamalizia form 6 mwaka huu, hiyo post ya mwaka juzi, dogo alipata post ya serikali kwenye hiyo shule, anapiga PGM, pamoja kamanda.
 
Back
Top Bottom