Forever Living and GNLD Products Business

TIANSHI NAIFAHAMU VIZURI!hata mim ni authorized supplier
 
BabaDesi,


NENO LA ZIADA KUHUSU QUESTNET

Jihadharini na QuestNet. Wanapromoti kiglasi kinaitwa "bio disc". Glass hii ni kiini macho tu haina value yoyote inayoshabihiana na bei ya $500 hadi $600 wanayouza.

Nimeichunguza glasi yenyewe, nikakaa nayo kwa muda wa wiki moja kwenye friji kama wanavyopendekeza na hakuna chochote ilichobadilisha.

Ni glasi ilinayotengenezwa nchini Ujerumani kwa kutumia material yale yale wanayotengenezea glass za madirisha. Sema QuestNet wameongeza porojo nyingi sana kuhusu huto tuglass eti kwamba ina nguvu za ziada (+ve energy) za kuimarisha chakula na mwili wako.

Gharama ya kutengeneza unit moja ni $10 mpaka $15. Lakini wao ili waweze kukuibieni vizuri wanauza $500 mpaka $600. Cha juu hapo kati ndio chakula cha wazee wa upline.

Nimekutana na watu sita mpaka sasa ambao wametapeliwa na QuestNet na hawana cha kufanya maana walikubali kununua wenyewe kwa hiyari yao.

Inasikitisha sana. Ndio maana wahenga walisema ikiwa unaona elimu ni ghali basi jaribu ujinga.

Naona taarifa unayotoa si sahihi. Mimi ninayo, nimeitumia na kweli inafanya kazi na imesaidia watu ambao walikuwa na matatizo ya Gout, Kiungulia nk. Ebu Jaribu kutoa taarifa ulizo na uhakika nazo na si kupotosha jamii.
 
to all Tanzanians,

of all the years i have lives in different countries huku uzunguni i have never seen anyone paying premium for these chemicals!people pay premium for natural stuffs.too bad due to high population and costs they end up getting half-natural stuffs.

either way,tumia $100,000 to buy a brand new porche but don't spend more than $100 on processed food no matter how "healthy" they tell you those things are.

remember them milk scandals,those pundits were trying to tell us that their milk(processed) was better than ours(natural).Guess what,they added melanin and so many other chemicals to enhance protein "imagery" of the milk!

so many packed food stuffs we buy from Shoprite and any other supermarket in this world is just plain chemicals.
if you want to be Healthy EAT food not supplements.its sad mtu anaukosefu wa Vitamin badala ya kula vitamin rich fruits/foods anafakamia makemikali ya GNLD.

kuna crap zao..,oh ukila hii utaongeza memory,utaongeza vision,CRAP!!dont take that watanzania.these guys are doing what they did 200 years ago,taking diamonds in exchange for shanga(plastic).

when we want to buy their stuffs,cars,watches etc they bring all the crap about how difficult and time consuming it takes to make one hence justification to high prices.

lakini wao wakija nunua Shubiri kwetu,they say its useless,and they are helping us,soko la dunia liko chini,uchumi wa dunia mbovu, and so many other craps.ili mradi tu watunyonye.

haya majamaa hayajaishia kwenye vyakula tu, sasa hivi its a very common sigh seeing imported furniture sold at premium prices,while they are of every low quality.
na sisi watanzania wafata mikumbo wala hatuulizi mara mbili,tunanunua tu.

Bottom line is nothing packed in a beautiful package,smells good or is told to help facilitate this and that actually does any of that stuffs.they are just plain same things we have abundantly here in Africa.its just education we lack.
 
to all Tanzanians,

of all the years i have lives in different countries huku uzunguni i have never seen anyone paying premium for these chemicals!people pay premium for natural stuffs.too bad due to high population and costs they end up getting half-natural stuffs.

either way,tumia $100,000 to buy a brand new porche but don't spend more than $100 on processed food no matter how "healthy" they tell you those things are.

remember them milk scandals,those pundits were trying to tell us that their milk(processed) was better than ours(natural).Guess what,they added melanin and so many other chemicals to enhance protein "imagery" of the milk!

so many packed food stuffs we buy from Shoprite and any other supermarket in this world is just plain chemicals.
if you want to be Healthy EAT food not supplements.its sad mtu anaukosefu wa Vitamin badala ya kula vitamin rich fruits/foods anafakamia makemikali ya GNLD.

kuna crap zao..,oh ukila hii utaongeza memory,utaongeza vision,CRAP!!dont take that watanzania.these guys are doing what they did 200 years ago,taking diamonds in exchange for shanga(plastic).

when we want to buy their stuffs,cars,watches etc they bring all the crap about how difficult and time consuming it takes to make one hence justification to high prices.

lakini wao wakija nunua Shubiri kwetu,they say its useless,and they are helping us,soko la dunia liko chini,uchumi wa dunia mbovu, and so many other craps.ili mradi tu watunyonye.

haya majamaa hayajaishia kwenye vyakula tu, sasa hivi its a very common sigh seeing imported furniture sold at premium prices,while they are of every low quality.
na sisi watanzania wafata mikumbo wala hatuulizi mara mbili,tunanunua tu.

Bottom line is nothing packed in a beautiful package,smells good or is told to help facilitate this and that actually does any of that stuffs.they are just plain same things we have abundantly here in Africa.its just education we lack.

Mkuu asante sana,umeandika vizuri ebu niambie je kuna tofauti na Forever Living Product? wao wakoje? mali zao ni natural au?
 
Hizo ndizo ajira alizosema Mheshimiwa sana Kapuya kuwa wametengeneza ajira 1 m,ukiwaona hao Forever Living pale Millenium wanavyohangaika,utashangaa kila mtu wanataka ajiunge nao,ukiwashiti wanakuwa wakali kama mbogo.No easy money ndugu zanguni,
 
Hizo ndizo ajira alizosema Mheshimiwa sana Kapuya kuwa wametengeneza ajira 1 m,ukiwaona hao Forever Living pale Millenium wanavyohangaika,utashangaa kila mtu wanataka ajiunge nao,ukiwashiti wanakuwa wakali kama mbogo.No easy money ndugu zanguni,

Kwa wale waliotumia product za Forever Living Product, ni natural au?.Nimeuliza make kuna watu wamenibebea bango kwamba ukitumia FLP ni nzuri na unakuwa kijana kabisa,kama una 50years unafanana na kijana wa 30years,je hazina "negative effect"?
 
Kwa wale waliotumia product za Forever Living Product, ni natural au?.Nimeuliza make kuna watu wamenibebea bango kwamba ukitumia FLP ni nzuri na unakuwa kijana kabisa,kama una 50years unafanana na kijana wa 30years,je hazina "negative effect"?

Huhitaji Kutumia "product" ya aina yoyote kuwa "kijana".kama una miaka 50 you will certainly look like a "50 year old".there are surgeries to make people look younger,but only for a few years then you know the rest.if they were ever reliable,people like Michael Jackson(RIP) would never had to cover his face while alive.

For US AFRICANS,we are so lucky GOD gave us the most reliable bodies walking under the sun.We are resilient and stronger than any other race.So you don't need any additional products to be healthier.Of course you need to eat Balanced and Natural food to be so.Something which Middle income people in Tanzania now are suffering from.Lack of proper Diet.

Yes,Most of people working/living in Dar tend to eat fast foods day in day out.talking about "chips kuku" here.These foods are classified as "dangerous".due to their high cholesterol levels.It's sad we take that as part of "good life".actually "good life" would be returning home to eat proper food.

Foods we eat from supermarkets and chemicalized drinks and cooking oil is one reason we have poor health.lets go back to basics,when matembele and Mchicha used to grace our tables,when milk na natural eggs was part of our breakfasts.when natural sunflower and "mawese" was our chief cooking oils.Then we have solved so many disease we face now.

My advice,eat well,EAT natural,do not contaminate your body with "whatever Chemicals" they force you no matter how useful they claim those chemicals are.

If you are "50" and you look "30" lucky you.BUT nothing will make you younger..,it is only a feeling you have, and these chemicals are so dangerous most of the times.

When they are not dangerous they do not qualify for a high price tag they want you to pay for.

Cheers!
 
Hii new marketing strategy ya ku "create a need" kwa watu ambao ni virgins kwenye mambo ya soliciting ni hatari sana.
 
Kuzembea shule, uvivu wa kujisomea vitabu - sioni ni kwa namna gani mtu huyu ataweza kukwepa kuwa mtumwa.





UPDATE - 2011
A ponzi scheme is one which returns investor’s funds not from earnings but from the principal contributed by subsequent investors. No legitimate investment exists and the money from later investors is used to pay off earlier obligations providing an appearance of legitimacy.

Tips

  • Beware of "loading" plans that ask you to buy costly inventory.
  • Beware of claims that you will make money by recruiting new members rather than by sales you make yourself.
  • Beware of promises about high profits or claims about "miracle" products.
  • Beware of "shills"- people paid by the operator to make grandiose claims about the success of the plan.
  • Refuse to make a financial commitment or sign a contract in a high-pressure situation. Take time to review and re-evaluate the plan.
  • Seek legal advice or consult relevant statutes (55.1) if you are unsure what constitutes a pyramid scheme.
 
Pamoja na mapungufu yake, products za GNLD ni very effective katika kusaidia wagonjwa; hasa wenye upungufu wa kinga ya mwili. Karibu wote ambao wametumia kwa kweli hali zao zimebadilika kabisa na utadhani hawana tatizo la kiafya. Kwa hiyo tusi -zibeze, jaribuni mtaona na kuthibitisha ubora wake au la.
 
Pamoja na mapungufu yake, products za GNLD ni very effective katika kusaidia wagonjwa; hasa wenye upungufu wa kinga ya mwili. Karibu wote ambao wametumia kwa kweli hali zao zimebadilika kabisa na utadhani hawana tatizo la kiafya. Kwa hiyo tusi -zibeze, jaribuni mtaona na kuthibitisha ubora wake au la.


Content ya bidhaa za GNLD unazifahamu au sio?
Hebu angalia hizi post:
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/31509-food-as-medicine.html
https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogomadogo/31977-faida-ya-chakula-bora.html
 
Ndiyo inabidi akuonyeshe mahesabu yanavyokwenda kwa vile unavyopanda wewe na yeye anfaidika
 
Wadau, naomba mwenye uzoefu/ufahamu wa hii biashara ya kuuza madawa ya mimea ya alovera maarufu kama forever living kama kweli inalipa au la! maana mwenzenu nimefuatwa na baadhi ya watu kunishawish niingie humo lkn sijapata taarifa za kutosha zaidi ya kupigiwa debe kuingi kuingia tu. Naomba mwenye ufahamu anipie dalasa kidogo nisije ingia kichwa kichwa nikajuta. ahsanteni.
 
Inalipa kama utaweza kuuza hizo bidhaa zao kwa wingi na uwaingize watu wengine wawe wanachama. The more the wanachamas the greater the reward (wenyewe wanaita points). Ukiwa na points nyingi ndo unalipwa vizuri. Nakwambia ni kazi ngumu. Kwanza bidhaa zao zina bei kubwa kiasi kwamba si rahisi kwa mtz wa kawaida kumudu kununua mara kwa mara, kwa hiyo utakuwa na kazi nzito ya kupiga debe na kuuza. Labda kama una marafiki wenye pesa na uelewa mzuri wa bidhaa hizo (of course, depending on how you convince them). Pili kupata wanachama wapya si kazi ndogo. Kama ambavyo wewe unasita kuingia kichwa kichwa ndivyo ambavyo nawe utakumbana nao hao potential members. Kwa ujumla: It's not as easy as it sounds.
Sijui kama nimeeleweka. Wenye ufafanuzi zaidi watakumwagia hapa.
 
inalipa sana kama utaweza kutengeneza mtandao wako(network) na co kuuza products cz inapowasponsor wa2 u automatically buy products which u cn use urself and share
 
Mi nilishaachana na habari za flp muda.
1Flp inahitaji muda zaidi.
2. Zile bonuses za magari, nyumba, trips kuzipata ni hadi wewe(manager) na watu wako mfikishe kiwango(cc) fulani cha kuuza products (ni kiwango kikubwa ila nimekisahau)
3. Wale watu wanaowambia wameacha kazi sbb forever inalipa ni waongo, ni kwamba wanalazimishwa waache ili muda mwingi watumike flp na ndio waweze kupata bonuses.
3. Kuna products za flp nzuri sana ila huwa zinaishia kwa wakubwa, watu wa chini huwezi kuziona hata siku moja.
4. Utakapojiunga utakuwa chini ya mtu, juu kabisa atakuwepo manager wenu, nyie wote mfanye mfanyavyo manager wenu ndio anazidi kufaidika hata kama na nyie mtakuwa mnapanda vyeo.
Hayo ni baadhi ya mambo wanayowaficha.
Faida ndio kama hizo ulizoambiwa.
 
Wala usiingie kwenye biashara hii utapoteza hela zako na utakuja kujuta baadae. Hii biashara ni ngumu ajabu na kupata kipato kinachotangazwa nsi rahisi kama wanavyosema. Hii ni biashara ya kuingizana mkenge tu.
 
Back
Top Bottom