Salaam wanabodi....
Pitia link hii uone jinsi serikali yetu ilivyolala na huku watanzania wakiendelea kunyanyasika nchini mwao.
http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/10751-foreigners-dominate-shipping-industry
Swali langu, hivi ni kweli serikali hawajui hawa foreigners walivyojaa kwenye haya makampuni ya shipping huku wakivunja sheria za nchi??
Hivi serikali haijui rushwa iliyotumika kuanzisha haya makampuni hata kuonekana wazawa wanamiliki 50% wakati ni uwongo?
Watanzania wenzangu, badala ya kujadili mambo kama haya ya msingi yanayofanya vijana wanaomaliza chuo kuwa mtaani huku nchi ikikosa mapato lukuki kutokana na uzembe wa mfumo unaoongoza pamoja na utawala mbovu uliopo sisi tunakaa kujadili the so called mfumo kristu na udini....jamani tubadilike.
Pitia link hii uone jinsi serikali yetu ilivyolala na huku watanzania wakiendelea kunyanyasika nchini mwao.
http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/10751-foreigners-dominate-shipping-industry
Swali langu, hivi ni kweli serikali hawajui hawa foreigners walivyojaa kwenye haya makampuni ya shipping huku wakivunja sheria za nchi??
Hivi serikali haijui rushwa iliyotumika kuanzisha haya makampuni hata kuonekana wazawa wanamiliki 50% wakati ni uwongo?
Watanzania wenzangu, badala ya kujadili mambo kama haya ya msingi yanayofanya vijana wanaomaliza chuo kuwa mtaani huku nchi ikikosa mapato lukuki kutokana na uzembe wa mfumo unaoongoza pamoja na utawala mbovu uliopo sisi tunakaa kujadili the so called mfumo kristu na udini....jamani tubadilike.