Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,144
- 56,608
hahahahaha,wewe bwana,umeoa msukuma?Kukatika halafu wana nguvu balaa lazma mwanaume uwe fit
hahahahaha,wewe bwana,umeoa msukuma?Kukatika halafu wana nguvu balaa lazma mwanaume uwe fit
Isipokuwa kwa habari ya uzinziHakuna kanisa la kilokole linaweza kufungisha ndoa ya wazinzi. Na kama lipo ni sinagogi la shetani.
Mungu anachukia kuachana sembuse kuoa au kuolewa na mzinzi.
Sakata hilo linaweza kuibua mjadala miongoni mwa waumini wa dini ya Kikristo ambayo pamoja na kuruhusu ndoa kuvunjika, ni nadra sana kwa makanisa kuidhinisha suala hilo.
=============
Flora Mbasha achumbiwa, kuolewa tena
Dar es Salaam. Baada ya wanandoa ambao ni wanamuziki maarufu wa nyimbo za Injili, kuingia katika mzozo miaka minne iliyopita, mmoja wao Flora Mbasha amechumbiwa na anatarajiwa kufunga ndoa ya pili hivi karibuni mkoani Mwanza.
Sakata hilo linaweza kuibua mjadala miongoni mwa waumini wa dini ya Kikristo ambayo pamoja na kuruhusu ndoa kuvunjika, ni nadra sana kwa makanisa kuidhinisha suala hilo.
Habari za kuaminika ambazo Mananchi Digital imezipata zinasema vikao vya maandalizi ya harusi hiyo vimeshaanza baada ya Flora kufanikiwa kupata talaka aliyoidai Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini hapa.
Flora, ambaye ni mjukuu wa aliyekuwa muhubiri maarufu nchini, Askofu, Moses Kulola (sasa marehemu), tayari amevishwa pete ya uchumba na amebadili jina la kisanii akitaka mashabiki wake wamtambue kama “Madame Flora” badala ya jina aliloibukia la Flora Mbasha.
Asili ya neno “madame” analotumia Flora ni Ufaransa na linamaanisha mwanamke aliyeolewa.
“Kwa sasa siwezi kukwambia chochote kuhusu hilo. Sijui, labda ifikapo Machi naweza kuzungumza,” amesema Flora, ambaye alitamba na kibao cha “Jipe Moyo”.
Chanzo: Mwananchi
Wewe namna gani vp huko upstairs ?Unataka akuoe wewe.
Hili jiji kubwa lina vituko...................
Mathayo 5:32 na 19:9. “isipokuwa kwa habari za uasherati” MZINIFU AKIOLEWA HATA YULE ALIYEMUOA AZINI asante Mungu
mimi namjua huyu dada kama ninavyojua kiganja changu hawezi kuolewa na binadamu wa aina yoyote ile hii ni scandle tuu imetengenezwa na baadhi ya wajuzi wa mambo niulizeni mimi kama hamjui namfuatiliaga usiku na mchanaSakata hilo linaweza kuibua mjadala miongoni mwa waumini wa dini ya Kikristo ambayo pamoja na kuruhusu ndoa kuvunjika, ni nadra sana kwa makanisa kuidhinisha suala hilo.
=============
Flora Mbasha achumbiwa, kuolewa tena
Dar es Salaam. Baada ya wanandoa ambao ni wanamuziki maarufu wa nyimbo za Injili, kuingia katika mzozo miaka minne iliyopita, mmoja wao Flora Mbasha amechumbiwa na anatarajiwa kufunga ndoa ya pili hivi karibuni mkoani Mwanza.
Sakata hilo linaweza kuibua mjadala miongoni mwa waumini wa dini ya Kikristo ambayo pamoja na kuruhusu ndoa kuvunjika, ni nadra sana kwa makanisa kuidhinisha suala hilo.
Habari za kuaminika ambazo Mananchi Digital imezipata zinasema vikao vya maandalizi ya harusi hiyo vimeshaanza baada ya Flora kufanikiwa kupata talaka aliyoidai Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini hapa.
Flora, ambaye ni mjukuu wa aliyekuwa muhubiri maarufu nchini, Askofu, Moses Kulola (sasa marehemu), tayari amevishwa pete ya uchumba na amebadili jina la kisanii akitaka mashabiki wake wamtambue kama “Madame Flora” badala ya jina aliloibukia la Flora Mbasha.
Asili ya neno “madame” analotumia Flora ni Ufaransa na linamaanisha mwanamke aliyeolewa.
“Kwa sasa siwezi kukwambia chochote kuhusu hilo. Sijui, labda ifikapo Machi naweza kuzungumza,” amesema Flora, ambaye alitamba na kibao cha “Jipe Moyo”.
Chanzo: Mwananchi
Ur rigth because ni mzinifu kutokana na maandikoHabari zake hazina mvuto
Ha ha haaaaaKama anafunga ndoa katika makanisa ya kilokole hata mala NNE wanafungisha tu muhimu sadaka yako tu
Unajidanganya ndugu....Makanisa ya Kilokole ndio chaka la wazinzi kwenda kufunga ndoa zao huko...Hakuna kanisa la kilokole linaweza kufungisha ndoa ya wazinzi. Na kama lipo ni sinagogi la shetani.
Mungu anachukia kuachana sembuse kuoa au kuolewa na mzinzi.
Hebu tiririka mnajuaje...?mimi namjua huyu dada kama ninavyojua kiganja changu hawezi kuolewa na binadamu wa aina yoyote ile hii ni scandle tuu imetengenezwa na baadhi ya wajuzi wa mambo niulizeni mimi kama hamjui namfuatiliaga usiku na mchana