Mkuu umesema mambo ya msingi sana. Kufikiria nje ya boksi badala ya kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu kama vile kuimarisha hospitali ya Tumbi ili iweze kuhudumia majeruhi wengi wanaopata ajali karibu na meneo ya hapo.
Halafu kuna hivi vibajaji na pikipiki kuruhusiwa kubeba abiria kwa maana ya biashara. Kuna mpk wodi pale muhimbili imepewa jina la pikipiki kwasababu ina majeruhi wengi wanaopata ajali ya vyombo hivyo. Solution? again jibu jepesi, vibajaji viwe na miknda (safety belts). Aisee
Labda niongeze swali,tuna think tank nchi hii?
Halafu kuna hivi vibajaji na pikipiki kuruhusiwa kubeba abiria kwa maana ya biashara. Kuna mpk wodi pale muhimbili imepewa jina la pikipiki kwasababu ina majeruhi wengi wanaopata ajali ya vyombo hivyo. Solution? again jibu jepesi, vibajaji viwe na miknda (safety belts). Aisee
Labda niongeze swali,tuna think tank nchi hii?