GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,033
Yaani Wafanyakazi wote wa LATRA ndiyo mna aina hii ya Ubongo mbovu uliowapelekea nyie kuja na Maamuzi haya ambayo GENTAMIYCINE sioni Aibu kuyaita ni ya Kipumbavu huku yakiwa yamejaa Chuki, Visasi, Wivu na Uonevu?
LATRA mbona hamyachukuli hatua Mabasi ya Tajiri Mkongwe wa Mkoani Morogoro ( na mwana Simba SC Mwenzangu ) ambayo huwa yanaanguka, yanaua na yanasumbua sana Abiria ila huwa anawahi Kuwahongeni kuanzia nyie, Matrafiki, Waandishi wa Habari wasiripoti huku Wahanga wa Ajali ( Abiria ) wakinyamazishwa kwa Kutibiwa Kisiri na kupewa Pesa ili tu Kampuni yake isichafuke?
LATRA niendelee kutoa Mifano mingine juu ya Unafiki, Chuki na Uonevu wenu juu ya baadhi ya Makampuni ya Mabasi nchini Tanzania au kwa sasa niishie tu hapa?
Hivi kwa Watu wenye Akili timamu kabisa na Wameenda kweli Shule wanaweza Kujisifia mbele ya Watu wenye Akili Kubwa kuwa Kufungia Mabasi ndiko Kutamaliza Ajali za Barabarani?
Hovyo kabisa...!!
LATRA mbona hamyachukuli hatua Mabasi ya Tajiri Mkongwe wa Mkoani Morogoro ( na mwana Simba SC Mwenzangu ) ambayo huwa yanaanguka, yanaua na yanasumbua sana Abiria ila huwa anawahi Kuwahongeni kuanzia nyie, Matrafiki, Waandishi wa Habari wasiripoti huku Wahanga wa Ajali ( Abiria ) wakinyamazishwa kwa Kutibiwa Kisiri na kupewa Pesa ili tu Kampuni yake isichafuke?
LATRA niendelee kutoa Mifano mingine juu ya Unafiki, Chuki na Uonevu wenu juu ya baadhi ya Makampuni ya Mabasi nchini Tanzania au kwa sasa niishie tu hapa?
Hivi kwa Watu wenye Akili timamu kabisa na Wameenda kweli Shule wanaweza Kujisifia mbele ya Watu wenye Akili Kubwa kuwa Kufungia Mabasi ndiko Kutamaliza Ajali za Barabarani?
Hovyo kabisa...!!