Dah good story ingawa ilipofika katikati nikajua mwisho wa story ukoje. Swali kama huyo dada alikua changudoa ilikuaje aache kazi zake huko mitaani aje chuo kikukuu kujifanya mwanafunzi ili apate mgao wa jamaa (boom)
wana JF espicial first year jitahidi kumjua mwanachuo mwenzako kwa kutumia kitambulisho chake akileta longo longo kuwa nae makini unaweza ukawa unaishi na kibaka au changudoa ndani ya room yako bila kujua, mimi nilishawahi kushuhudia jamaa akilia baada ya kuibiwa laptop yake na kibaka aliyekuja kulala room kwake akidai yeye ni mwanafunzi wa main compus enzi zileee naishi mabibo hostel. KUWA MAKINI tusije tukajibu kale ka methali ka MAJUTO NI.......
Inauma sana... miaka yote ya utafutaji inazimwa fasta kivile... sitaki ngono kabisa