Kuwepo na kutokuwepo kwake hakuna impact yoyote kwa nchi, labda kwa mumewe!
Muda huu ambapo serikali 'yao' inalalamikiwa, huyu mama hasikiki kabisa kama kile kipindi cha kampeni. Sijui nini kimemsibu!
Ndio maandalizi ya kuwa rais wa tano nini!!
Hivi kumbe hajui lugha ya kiingereza eeh?Yuko kenya anajifunza lugha ya kiingereza
Hivi kumbe hajui lugha ya kiingereza eeh?
Muda huu ambapo serikali 'yao' inalalamikiwa, huyu mama hasikiki kabisa kama kile kipindi cha kampeni. Sijui nini kimemsibu!
Mbona wakati wa kampeni uwepo wake ulikuwa na impact kubwa, aliweza kubadili mawazo ya watu waliomchoka mume wake na wakawa na imani naye tena. Uwepo wake unaweza kusaidia hata akamshauri mume akaachia ngazi.....lol.
Muda huu ambapo serikali 'yao' inalalamikiwa, huyu mama hasikiki kabisa kama kile kipindi cha kampeni. Sijui nini kimemsibu!
Hivi sasa anakula kuku kwa mrija, baada ya kazi ngumu ya kampeni.