Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 202
vs
Mozilla imeshaachia Firefox 4, na chini ya nusu siku imeshakuwa downloaded mara mbili ya IE9(Internet Explorer 9) ambayo Microsoft walijisifu sana.
Sasa hivi website analytics wa Kampuni ya StatCounter wanasema browser hiyo mpya ya Mozilla imeshachukua 1.95% ya soko la dunia la Internet browsers..
Kwa kulinganisha,StatsCounter inaongeza kwamba Internet Explorer 9 imechukua 0.87% ya soko la dunia la Internet browsers ikiwa ni wiki sasa tangu iachie mzigo.
Na kama unavyoweza kujionea kutoka kwenye picha hapo juu, sio Firefox 4 peke yake bali pia toleo jipya la Opera 11inaongoza kidogo juu ya IE9 mpaka sasa hivi.
Cha kuzingatia: Internet Explorer 9 haiingiliani na Windows XP, Operating System iliyoachiwa miaka 10 iliyopita lakini inaongoza kwa watumiaji wengi duniani.
Kama version zote za browser zitazingatiwa, IE bado inaondoza kwa 45% kwenye soko la dunia, ikifuatiwa na Firefox ambayo ina 30% na Chrome yenye 17%.Web analytics wa kampuni ya StatCounter hivi karibuni wameripoti kwamba Firefox wamewapita IE na kuwa Browser namba moja Europe, kwa mara ya kwanza tangu December 2010.
Kwa US pekee, IE (version zote zikiwa combined) inaongoza kwa gap kubwa: 48%, ikifuatiwa na Firefox 26% na Chrome yenye 14%.
Mozilla imeshaachia Firefox 4, na chini ya nusu siku imeshakuwa downloaded mara mbili ya IE9(Internet Explorer 9) ambayo Microsoft walijisifu sana.
Sasa hivi website analytics wa Kampuni ya StatCounter wanasema browser hiyo mpya ya Mozilla imeshachukua 1.95% ya soko la dunia la Internet browsers..
Kwa kulinganisha,StatsCounter inaongeza kwamba Internet Explorer 9 imechukua 0.87% ya soko la dunia la Internet browsers ikiwa ni wiki sasa tangu iachie mzigo.
Na kama unavyoweza kujionea kutoka kwenye picha hapo juu, sio Firefox 4 peke yake bali pia toleo jipya la Opera 11inaongoza kidogo juu ya IE9 mpaka sasa hivi.
Cha kuzingatia: Internet Explorer 9 haiingiliani na Windows XP, Operating System iliyoachiwa miaka 10 iliyopita lakini inaongoza kwa watumiaji wengi duniani.
Kama version zote za browser zitazingatiwa, IE bado inaondoza kwa 45% kwenye soko la dunia, ikifuatiwa na Firefox ambayo ina 30% na Chrome yenye 17%.Web analytics wa kampuni ya StatCounter hivi karibuni wameripoti kwamba Firefox wamewapita IE na kuwa Browser namba moja Europe, kwa mara ya kwanza tangu December 2010.
Kwa US pekee, IE (version zote zikiwa combined) inaongoza kwa gap kubwa: 48%, ikifuatiwa na Firefox 26% na Chrome yenye 14%.