FINCA wanaziogopa Upper second hasa za UDSM!?

Status
Not open for further replies.
TCU ndo wamekiuwa udsm maana siku hizi si kama enzi zetu unaaply chuo so nowday kilachuo kinapokea wanafunzi toka tcu sasa hivy kuna watu wana 3 ya 13 wapo udsm wakati hiki kitu enzi zetu hakikuwepo kabisa ni div 1 au 2 ya mwanzo
 
Inawezekana maana ata sisi hatuajiri wanafunzi wa UDSM,coz ni wazito balaa,,,watu wanapewa maswali multiple na match items,,,so upper second ya UDSM ni gentlement ya SUA/UCLAS/MZUMBE,,,pia moshi nimeskia kuna chuo kinakuja juu zamani kilikua kinaitwa ushirika mitihani YA WAHASIBU Vijana wamefanya vizuri. UDSM ndo chuo kikuu cha ukahaba na ubraza men(usharo) leo unataka niajiri shoga au kahaba si atawamaliza staffs kwa n goma?????? panuka mawazo
......Umekuwa mkweli zaidi na kutokana na tabia ya Wabongo kutopenda kusikia ukweli subiria waje wenyewe wameenda kununua matusi na kejeli ili waje kukuogesha navyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom