Mkimbizi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2008
- 222
- 34
Habari zilizotufikia punde zinasema kuwa Financial manager wa Unilever Company MR.LUGANO ELIA ameuawa na majambazi usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake kimara.
Habari zaidi zinasema kuwa majambazi yalimfuatilia alipokuwa anatoka ofisini saa tano usiku na kumlazimisha awape pesa na simu yake yenye thamani ya zaidi ya millioni 1.
Mungu ailaze roho yake mahali pepa peponi..
Habari zaidi zinasema kuwa majambazi yalimfuatilia alipokuwa anatoka ofisini saa tano usiku na kumlazimisha awape pesa na simu yake yenye thamani ya zaidi ya millioni 1.
Mungu ailaze roho yake mahali pepa peponi..