Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Toa pole kwanza, ndio uulize. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali panapostahili. Amen
Inavyoelekea wewe huenda msibani badala ya kulia kivyako unaangalia watu gani hawalii. Mimi nimechanganyikiwa hadi nikasahau kutoa pole kwa mjane na watoto, ndugu na marafiki wa marehemu. Mwenyezi Mungu aipokee roho ya marehemu pema peponi, Amen.