Dar: Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) ya Uvinza mkoani Kigoma, Auawa Kinyerezi

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Dar es Salaam. Ofisa wa Polisi ameuawa usiku wa kuamkia leo katika eneo la Kinyerezi Kanga wilayani Ilala.
Salum-Hamduni.jpg

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni

Taarifa zilizotufikia punde na kuthibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni zinasema aliuawa nyumbani kwake. Hata hivyo hakumtaja jina lake.

Taarifa zaidi zimesema ofisa huyo wa Polisi alikuwa akifanya kazi wilaya ya Kibaha na alikuwa amehamishiwa mkoa wa Kigoma hivi karibuni.

Kamanda Hamduni amesema taarifa zaidi kuhusu polisi huyo zitatolewa baadaye.

“Ni kweli kuna ofisa wa Polisi ameuawa niko eneo la tukio naomba mniache nifanye kazi tutawapa taarifa baadaye,” alisema.


Chanzo: Muungwana Blog
 
Dar es Salaam. Ofisa wa Polisi ameuawa usiku wa kuamkia leo katika eneo la Kinyerezi Kanga wilayani Ilala.



Salum-Hamduni.jpg

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni

Taarifa zilizotufikia punde na kuthibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni zinasema aliuawa nyumbani kwake. Hata hivyo hakumtaja jina lake.

Taarifa zaidi zimesema ofisa huyo wa Polisi alikuwa akifanya kazi wilaya ya Kibaha na alikuwa amehamishiwa mkoa wa Kigoma hivi karibuni.

Kamanda Hamduni amesema taarifa zaidi kuhusu polisi huyo zitatolewa baadaye.

“Ni kweli kuna ofisa wa Polisi ameuawa niko eneo la tukio naomba mniache nifanye kazi tutawapa taarifa baadaye,” alisema.


Chanzo: Muungwana Blog
  • Daah! napatwa na hasira :mad: naposikia askari wetu wana uawa huko mashariki mwa nchi yetu hapo hapo kuna mijitu imeanza kujitokeza, kama Sheikh Ponda, kupinga juhudi za jeshi la polisi na kuonesha dalili za kuwatetea wahalifu
 
Back
Top Bottom