Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

Kweli mkuu mtu anakopa pesa ananua gari anaenda nayo kazini anaipaki kuanzia asubuh mpaka jioni what a waste of money yaani more than 30 million or 20 million unaipaki kuanzia asubuh tena mkopo hapo bado garage bado mafuta yaani ni uzuzu inatakiwa ukikopa ufanye kitu cha kuingiza hela sio unaenda kuzika pesa na jamii imeshamezeshwa tayari na ni ngumu kuelewa.
Financial Education must address Spiritual, Psychological, Emotional, and Technical aspects of Wealth Management
 
Ujuaji usio na maana!! kwaio wewe umeiona mikopo tu ndio watu wamekosa elimu!!

BAsi nikuongezeee watu wangekua na elimu hata hyo ccm isingekua madarakani Leo hii, hayo makanisa na misikiti ingefungwa Kwa kukosa sadaka,hata hii jf unayotolea mawazo Yako isingekuwa active,na hao wanakijiji mlioenda kuwapa elimu wangekua nayo msingeitajika huko nk
 
Last week my phone iliharibika nikaenda duka moja kukopa simu, nilikuta imebandikwa stiker 570k, nikaangalia ile simu sokoni ni 400k, nikasema sio mbaya maana nikikosa simu shughuli zangu zitasimama, nikaanza process zote kwenye kumaliza mpaka jioni naomba statement nakuta natakiwa kulipa 860k, bahati nzuri nilikua sijalipa malipo ya awali nikawaomba samahani kwa usumbufu nikatoka.
Last week my phone iliharibika....! Ndo lugha gani hii.....wanapenda sana kutumia vibinti vya chuo mwaka wa kwanza.....
 
Hizo gharama za ATM haziji tu, kuna makubiano uliyakubali. Again nakuambia, lolote bank wanalofanya kwako bila makubaliano ni fursa kwako.

Nikuulize, hiyo ATM ulipewa bila makubaliano? Wakati unafungua akaunt na kuomba huduma ya kadi, ulisani nyaraka zipi? Zilikuwa zinasemaje?
Nayaraka wakati unaomba kadi hazielezi Makato, tena siku hizi kadi unaomba kupitia app hujazi chochote Zaid ya pin
 
Na hata simbanking, hawakwambii kiasi kilichobaki kwenye akaunti. Mpaka uulize ambapo nahisi kuna kiasi utahitaji kulipia, sio kama tigopesa and the like. Au ni akaunti yangu tu jamani
Simbanking kupitia app yao hawakati ila ukipitia zile ussd codes wanakata
 
Nayaraka wakati unaomba kadi hazielezi Makato, tena siku hizi kadi unaomba kupitia app hujazi chochote Zaid ya pin
Twende taratibu boss. Kadi yako ni ya akunti aina gani? Ulipofungua hiyo akaunt nyaraka za kufungulia hazikuwa na maelezo kuhusu kadi iwapo utaihitaji?
 
Huwezi kuona kwenye Atm, Kuna gharama za miamala!
Zile karatasi zinazotupwa kwenye dust bins benki wameshachaji!!! Laiti kama watu wangejua gharama za kutaka Ile receipt ambayo wanasoma tu balance na kuitupa kwenye bin , wasingeitaka Ile receipt , na benki zingekosa mapato,
Hii mimi nilishaacha kuchukua risiti ila cha ajabu kila muamala wananitumia meseji ya salio, nataka siku nikiwa free nikachukue statement nione hizo meseji za salio wananikata au la, na kama wanakata watajua hawajui maana kawaida huwa napokea meseji ikisema tu nimetoa hela kiasi fulani, lakini baada ya kuacha kutoa risiti naanza kupokea meseji za salio kila nikitoa hela, nahisi kama wanafosi sana kukata salio check fees.
 
Mabenki wanaweza wapatia wateja wao kila aina ya elimu ila sio Financial educaion, hio hawawezi itoa hata kwa bunduki make wanajua itawakosesha wateja wengi sana.

Na ukweli ni kwamba upigwaji kwenye mikopo ni kwa sababu watu hatuna elimu ya kifedha hilo ndio tatizo, hakuna tatizo jingine. Asilimua kubwa ya wakopaji hawana hio elimu na Mabenki hawataku kabisa watu waipate.

Mtu anakopa ukianza kumuuliza maswali unaona kabisa hapa kuna shida kubwa sana.

Kuna Project moja tulikuwa tunafanya na NGO moja kubwa sana, sasa ikawa inahusu kufanya kazi na Banki moja wapi kubwa sana Tanzania. Project ilihusu pia kutoa elimu ya kifedha kwa wanavikundi then wawe linked na Banki kwa ajili ya Saving na Loan, Sasa kwenye swala la Financial education hapo Benki wakakataa wakasema itolewe tu Financial linkage education na tuachane na Financial education.

Hawakuweka wazi sababu za kukataa Financial education ila tulijua tu sababu ni itaenda kinyume na siri zao za kukopesha.

Kwenye kukosa elimu ya kifedha hapo ndio Mabenki na hizi taasisi zingine zinazo toa mikopo wanako tajirikia. Ukiaona walimu sijui wafanya kazi wanalia lia na mikopo kisa ni Financia education hawakuwa nayo na wangekuwa nayo wange weza hata kughairi kwenda kukopa pesa.

Mabenki wanaweza toa sana elimu za ujasiriamali ila sio elimu ya kifedha.

Ni elimu inayo paswa kutolewa sana kwenye jamii hasa walimu ambao ni wahanga wakuu wa mikopo, shida nani anatoa hio elimu?
Kila mtu akiwa mjanja na kila mtu akawa na pesa nani afanye kazi kufanya uzalishaji nchi iende mbele?

Lazima wasiokua na pesa wawepo waajiriwe wajenge huduma na bidhaa nchi iende mbele

Sasa kila mtu awe na pesa,kila mtu awe tajiri,NANI AFANYE KAZI mtaroni nchi iwe safi?

Wasiokua na pesa wawe wengi ili kazi zifanyike nchi izalishe

Matajiri wawe wachache masikini wawe wengi ndio uchumi utafanya kazi otherwise hakuna atakaemuajiri mwenzie nani aende kazi kushika mavi nchi iende mbele?

Matajiri ni carefully selected na uchumi maana ni akili zao na survival of the fittest,nature inawachagua then tuwape resource ya fedha kama mkopo wao wabebe dhamana then waaajiri washenzi kama nyie mfanye kazi uzalishaji ufanyike

Wewe ni masikini huna uwezo wa kua na dhamana ila tajiri tunamtwisha huo mzigo wa dhamana tunampa hiyo hela kama mkopo asimamie uzalishaji kama kiranja,tukifaulu anavuna zaidi yetu na tukifeli anabeba dhamana yeye na wala sio sisi masikini,hivyo kaa kwa kutulia tayari masikini na tajiri tushawachambua kila mmoja kazi yake na wajibu wake na mshahara wake

Kama hamuwezi anzisheni mfumo mpya wa communism which will never work maana nature ya mwanadamu ni selfishness
 
Back
Top Bottom