Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
hahahahah!mpwa unaharibu sredi yetu mama....!
halafu kumbuka kwambaaa eeeeeeeh 11-INFIDELITY IS THERE TO STAY....!kwanini?kwasababu infidelity ni tiba ya KANSA YA KIBOFU!hapa pana mjadala mzito kidogo ingawa hauhitaji journals!
Siyo mimi bali ni Kaizer
Kama umeoa/umeolewa......
Halafu Una hobby na ''mipango ya kando''......
TAFADHALI NAOMBA TUSIWE NA TABIA YA KUWEKA JEALOUSY DHIDI YA MIPANGO YA KANDO....!Haiingii akilini mwa mtu kwamba unatengeneza ''JEALOUSY'' ya level ya juu kabisa kwenye mipango ya kando ilhali unajua kuwa:
-MPANGO WAKO WA KANDO NI MKE/MUME WA MTU
-SIO KWELI KWAMBA ON A SERIOUS SCENARIO MTU UNAWEZA MPENDA MKE/MUME WA MTU IL HALI UNA MUME/MKE UMEMWACHA NYUMBANI!
mi nadhani hii mipango ya kando (kwa wenye hobby na nguvu za kumudu) tuwe tunashea ''kwa amani'' bila wivu....!kwamba leo wewe kesho na mimi pia BILA WIVU!na ukiniona we potezea tu maisha yaendelee au vipi?
habari ndo hiyo.....!kudadadadek
narudi kwa
-mkoloni wa amani
-mkoloni Ti
-mkoloni pikap
-mkoloni RaV4
-mkoloni stalet
-mkoloni gx100
-mkoloni eskudo
-wivu premio
Last edited by a moderator: