Finally,nimeamua kufunguka....

mara nyingi watu wanapenda mambo ya kijokejoke na kujinga wewe wape Neno la Mungu hapa au wape somo jema la maisha yao kama utawaona hakuna mtu, mwana si utaona hakuna hata aliyemchangiaji au naongopa Nicas Mtei best
 
Last edited by a moderator:
haa Mentor haaaa! ni lini nilikwambia utoe no yako ya simu kwa watu hasa hawa w......a......n....a.....w....a....k....e lini naomba tusikosane utanitambua leo home
Why not? Nimekupigia mara mbili kwa voda yangu hupokei (on your 601). Call me back when free. :)
 
Last edited by a moderator:
yani unafiikia hatua ya kunifanyia hivyo mpz, kwanini unatoa no yako kwa hawa watu W--A--N--A--W--A--K--E kwanini lakini uniheshimu wala kunijali kiasi hicho nimekukosea nini mpaka unanifanyia hivyo jamani, leo home patachimbika na lazima nawambia wakwe zangu kwani nimechoka na mambo yako nasema NIMECHOKA MIE nimekuvumilia sana kaka Erickb52 njoo unisaidie hapa
@snochet mdogo wangu, naomba kukuuliza swali moja..
Moshi umekosa kabisa wadada wwanaokidhi vigezo vyako au ni kwa sababu uko busy sana kuweza ktembea na kujionea?

Nimeishi Moshi for like 17 years na sidhani kama ni ngumu kukutana na ladies wa hiyo age group na kufahamiana nao kiurahisi zaidi kuliko unavyofanya kupitia Jamii forums.

It's more fun getting to know a lady the natural way you know..kuna MUCCoBS, Mwenge sjui Mweka najua saivi Moshi kuna a lot of colleges...plus town imeendelea sana tofauti na enzi zile. Now kuna Makumba bay, ile garden nshasahau inaitwaje, kuna Mr price, kuna pale ccm mkoa..yani siku hizi kuna a loooot of places ambazo unaweza kukutana na watu wa rika yako bila shida.

I want to know cha zaidi hasa wewe kuja huku...IF YOU DONT MIND THAT IS.

IN OTHER NEWS: Roulette, can I get to know you in person sis??
 
Last edited by a moderator:
@snochet mdogo wangu, naomba kukuuliza swali moja..
Moshi umekosa kabisa wadada wwanaokidhi vigezo vyako au ni kwa sababu uko busy sana kuweza ktembea na kujionea?

Nimeishi Moshi for like 17 years na sidhani kama ni ngumu kukutana na ladies wa hiyo age group na kufahamiana nao kiurahisi zaidi kuliko unavyofanya kupitia Jamii forums.

It's more fun getting to know a lady the natural way you know..kuna MUCCoBS, Mwenge sjui Mweka najua saivi Moshi kuna a lot of colleges...plus town imeendelea sana tofauti na enzi zile. Now kuna Makumba bay, ile garden nshasahau inaitwaje, kuna Mr price, kuna pale ccm mkoa..yani siku hizi kuna a loooot of places ambazo unaweza kukutana na watu wa rika yako bila shida.

I want to know cha zaidi hasa wewe kuja huku...IF YOU DONT MIND THAT IS.

IN OTHER NEWS: Roulette, can I get to know you in person sis??
kaka Mentor,
Kwa namna moja au nyingine i am still exploring na nikaona sio jambo baya kama huku nijaribu pia.

George Edward Moore a philosopher amewahi kusema "A man travels the world in search of what he needs and returns home to find it.".....JF is one of my homes(home of great thinkers)......,i am here for that reason.


 
kaka Mentor,
George Edward Moore a philosopher amewahi kusema "A man travels the world in search of what he needs and returns home to find it.".....JF is one of my homes(home of great thinkers)......,i am here for that reason.




Oh no bro, u getting it all wrong n twisted...JF is travelling the world for you coz u get to be in Yaeda while still in Moshi...Home, according to the philosopher is Moshi for you.

IN OTHER NEWS: Roulette u got me there!!!:A S shade::shut-mouth:
 
Last edited by a moderator:
Oh no bro, u getting it all wrong n twisted...JF is travelling the world for you coz u get to be in Yaeda while still in Moshi...Home, according to the philosopher is Moshi for you.

IN OTHER NEWS: Roulette u got me there!!!:A S shade::shut-mouth:
Hahaha, JF is a family and you are my brother.
 
snochet ni mdogo wangu na rafiki yangu wa karibu sana. I am sure he will make his friend/girlfriend a happy woman. He is a VERY sensitive person, available and ready to help. He is honest and he holds values that most of us would want to see in a brother/a man. He is moderate in most of his believes and quite open to different thinking. He is curious and tolerant. He is very smart and holds structured arguments in his discussions with me, which makes him one of the best companies I have. Tunapishana kwa dini na siasa but this has never been a problem and far from dividing us it has helped me understand better christianity and Chadema. Likewise, na yeye amegundua mengi kupitia maongezi yetu.Although we don't live in the same town we communicate very often. I really hope he will find a girl who deserves him. Good luck hun, I am sure atajitokeza mmoja atakae meet expectations zako.
aisee kwahii cv..namimi nna bebifesi walai naenda kutengeza birth certificate mpya.. Tukishaoana tukitoka kanisani...Ndo namuambia ukweli nna 50's lol...Bytheway nna mdogo wangu kwakweli namshawishi aingie humu .. Ila atamsumbua sijui..maana hajaanza mapenzi na nimtundu sana ila she is a nice girl,cute,fun na bright..19yrs,in college. Uwii hii cv hakianani imenivutia..Mungu akupe wa ubavu wako,amen.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha...........
white-dresses-for-women-plus-size.jpg


Au.........
images

Una maana

mechakaje comment yako na ladyfurahia
ha eti mie lijimama Boflo koma kunikomaza mi toto dogo hata ziwa halijaanguka sikumbuki mara ya mwisho kuvaa bra
Boflo we toa siri tu mbona sis hatujatoa zako??
 
Last edited by a moderator:
mechakaje comment yako na ladyfurahia
ha eti mie lijimama Boflo koma kunikomaza mi toto dogo hata ziwa halijaanguka sikumbuki mara ya mwisho kuvaa bra
Boflo we toa siri tu mbona sis hatujatoa zako??

Heeeee.... fidel81 hebu kuja pande hii.
The don want to see ya now now.
 
Last edited by a moderator:
snochet ni mdogo wangu na rafiki yangu wa karibu sana. I am sure he will make his friend/girlfriend a happy woman. He is a VERY sensitive person, available and ready to help. He is honest and he holds values that most of us would want to see in a brother/a man. He is moderate in most of his believes and quite open to different thinking. He is curious and tolerant. He is very smart and holds structured arguments in his discussions with me, which makes him one of the best companies I have. Tunapishana kwa dini na siasa but this has never been a problem and far from dividing us it has helped me understand better christianity and Chadema. Likewise, na yeye amegundua mengi kupitia maongezi yetu.
Although we don't live in the same town we communicate very often. I really hope he will find a girl who deserves him. Good luck hun, I am sure atajitokeza mmoja atakae meet expectations zako.
seriously Roulette, siku nikiwa natafuta ajira nitakuomba unirecommendie...
 
aisee kwahii cv..namimi nna bebifesi walai naenda kutengeza birth certificate mpya.. Tukishaoana tukitoka kanisani...Ndo namuambia ukweli nna 50's lol...Bytheway nna mdogo wangu kwakweli namshawishi aingie humu .. Ila atamsumbua sijui..maana hajaanza mapenzi na nimtundu sana ila she is a nice girl,cute,fun na bright..19yrs,in college. Uwii hii cv hakianani imenivutia..Mungu akupe wa ubavu wako,amen.

Hahahaha... Swts, can u n I have a lil chat ?????:yo:
 
Last edited by a moderator:
aisee kwahii cv..namimi nna bebifesi walai naenda kutengeza birth certificate mpya.. Tukishaoana tukitoka kanisani...Ndo namuambia ukweli nna 50's lol...Bytheway nna mdogo wangu kwakweli namshawishi aingie humu .. Ila atamsumbua sijui..maana hajaanza mapenzi na nimtundu sana ila she is a nice girl,cute,fun na bright..19yrs,in college. Uwii hii cv hakianani imenivutia..Mungu akupe wa ubavu wako,amen.
Fanya mpango basi tuwaunganishe hawa wawili, it could be the next best couple in town bwana
 
seriously Roulette, siku nikiwa natafuta ajira nitakuomba unirecommendie...

Karibu sana ndugu yangu. I will be honored. Ila ndio tuanze kufahamiana mapema nisije nikakurecommand bila kukufaham.
 
Ushampata uliyekuwa wamtafuta...hongera!!!

ningekuwa nahitaji ningeshamwambia niko na my husband Mentor kwanini nijichoshe na hako katoto kenye kuvalishwa pampers masaa yote, watu tuna watu siye au we unanionaje mie ha ha haaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahah...kaka mbona nipo kitambo tu ila hapa JF nilibatizwa February 2010...

Asprin hebu toa muongozo kwa hawa wakuu...

Hahaha hawa machalii yangu achana nayo kabisa.

Yakitia timu Leo Tupo hapa Pub stock ya vileo ya Mjeda itaisha.

Huyu Bigirita huyu anakunywa mayi kama Mamba. Ole wako pawe na mbuzi pembeni na baamedi mkali kama Joyce. Hatarudi nyumbani hiyo siku. Nyambaf zake na robo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom