Azipa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 1,069
- 322
Nasikitika hata kabla ya ripoti ya mtaalam wa mabomu haijajoka tayari vyombo vya habari vimekuwa vikiandika kwamba marehemu alilipuliwa na bomu la machozi.
Ikumbukwe mtutu uliyotumiwa kwenye tukio lile huweza kutumiwa kufyatulia mabomu ya aina tofauti ili mradi iwe ni bomu lenye kipenyo cha 40mm
Kuna bomu lingine la 40mm ambalo ni la kivita Low Velocity High Explosive Airburst Grenade.
Bomu hilo lina linafyatuliwa mithili ya risasi kwenye kitako cha gamba lake lina primer kama ile ya risasi. Baada ya kufyatuliwa kichwa cha hilo bomu ambacho ndiyo chenye madhara makubwa hulipuka kinapogongana na target
Kwa maneno mengine kama target ni laini mfano kwenye theluji(snow) linaweza lisilipuke mpaka litakapokanyagwa
Kuna uvumi kwamba marehemu alifyatuliwa bomu kisha likawa mwilini na kulipuka pale alipojikunja
KIWANGO CHA USAMBARATISHWAJI WA MWILI WA MAREHEMU KINANIFANYA NITAFUTE UWEZEKANO WA KUKATA RUFAA KAMA MATOKEO YA UCHUNGUZI YATASEMA LILIKUWA NI BOMU LA MACHOZI
Haki itakuwa haijatendeka kama hatutaelezwa ni mtaalam yupi aliyechunguza hilo bomu na kwa vigezo vipi amefikia kuhitimisha kwamba lilikuwa bomu la machozi
Wasiwasi wangu ni kwamba IGP Mwema ataendelea kupeta pamoja na Kamuhanda kuendelea kuua. Bomu la machozi hapo litashift blame kwa mtunguaji. Na itachukuliwa kama manslaughter tu
Kuna huyu JF member mwingine ana mtizamo kama wangu na anaonekana hata kumfahamu kwa undani mmoja wa watuhumiwa. Ni jitihada za huyu jamaa kumsafisha mtuhumiwa hapa JF zimenitia shaka. Jisomee mwenyewe hapa;
N.B poti kwa lugha ya kijeshi hapa Tanzania ni "homeboy" inaonekana mwenzetu anamjua mtuhumiwa mwenye bastola na nguo za kiraia, kwamba ni mnyakyusa kama marehemu Mwangosi
Ikumbukwe mtutu uliyotumiwa kwenye tukio lile huweza kutumiwa kufyatulia mabomu ya aina tofauti ili mradi iwe ni bomu lenye kipenyo cha 40mm
Kuna bomu lingine la 40mm ambalo ni la kivita Low Velocity High Explosive Airburst Grenade.
Bomu hilo lina linafyatuliwa mithili ya risasi kwenye kitako cha gamba lake lina primer kama ile ya risasi. Baada ya kufyatuliwa kichwa cha hilo bomu ambacho ndiyo chenye madhara makubwa hulipuka kinapogongana na target
Kwa maneno mengine kama target ni laini mfano kwenye theluji(snow) linaweza lisilipuke mpaka litakapokanyagwa
Kuna uvumi kwamba marehemu alifyatuliwa bomu kisha likawa mwilini na kulipuka pale alipojikunja
KIWANGO CHA USAMBARATISHWAJI WA MWILI WA MAREHEMU KINANIFANYA NITAFUTE UWEZEKANO WA KUKATA RUFAA KAMA MATOKEO YA UCHUNGUZI YATASEMA LILIKUWA NI BOMU LA MACHOZI
Haki itakuwa haijatendeka kama hatutaelezwa ni mtaalam yupi aliyechunguza hilo bomu na kwa vigezo vipi amefikia kuhitimisha kwamba lilikuwa bomu la machozi
Wasiwasi wangu ni kwamba IGP Mwema ataendelea kupeta pamoja na Kamuhanda kuendelea kuua. Bomu la machozi hapo litashift blame kwa mtunguaji. Na itachukuliwa kama manslaughter tu
Kuna huyu JF member mwingine ana mtizamo kama wangu na anaonekana hata kumfahamu kwa undani mmoja wa watuhumiwa. Ni jitihada za huyu jamaa kumsafisha mtuhumiwa hapa JF zimenitia shaka. Jisomee mwenyewe hapa;
...good observation Mkuu, it makes sense, ukizingatia ni Wa-pot wa marehemu...
...Kimsingi nadhani mauaji yamefanywa na yule kijana mwembamba aliyeelekeza bunduki ya kulipulia mabomu ya machozi akiwa takribani mita 0.5 kutoka kwenye tumbo la marehemu, ifahamike kuwa bomu la machozi linapaswa kupigwa kwenye umbali wa takriban mita 100 ili lisiwe na madhara na shurti lisielekezwe direct kwenye mwili wa binadamu...
...Kosa la huyo dogo,kama hakutumwa basi ni kichwa cha bangi, alilenga mwili na alikuwa karibu mno kinyume na utaratibu wa matumizi ya mabomu haya, na mbaya zaidi nadhani badala ya kutumia bomu la machozi lenye kizibo cha njano yeye alitumia bomu la mlipuko ambalo lina kizibo chekundu japo yote yana rangi ya jungle green,kosa kubwa...
...Bomu la mlipuko likipigwa na kugonga kitu kigumu(kama uti wa mgongo kwenye kesi hii) linalipuka na kutoa kishindo kizito, naamini ndicho kilichotokea na kuusambaratisha mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi...
N.B poti kwa lugha ya kijeshi hapa Tanzania ni "homeboy" inaonekana mwenzetu anamjua mtuhumiwa mwenye bastola na nguo za kiraia, kwamba ni mnyakyusa kama marehemu Mwangosi