Kada wa CHADEMA
JF-Expert Member
- Feb 27, 2016
- 289
- 615
Naam. Na hii ndiyo inaleta utulivu ndani ya CCM na hupunguza gharama. Kuna wakati Lowasa akiwa CCM alipendekeza kutenganishwe Urais na Uenyekiti. Kwamba ikiwa Magufuli atakuwa Rais, Lowasa awe Mwenyekiti. Hoja hii pia ilisimamiwa sana na akina Kingunge. CCM wakashtuka kwani wangeweza kumfukuza uanachama Rais kwa vile tu wao wana nguvu kwenye chamaKwa hiyo uchaguzi wa chama unaenda sambamba na kura za maoni za urais???