Madaktari kama kweli wanadai milllioni 17 they need a psychatrist from Cuba to examine their heads,mishahara yao ni mikubwa ukilinganisha na ya wafanyakazi wengine,walitakiwa wadai kwa staha na kwa kuzingatia hali ya nchi,wao wakipata milioni 17 ina maana manesi watapata milioni 8,na cleaner wa hospitali milioni 5.trend itaendela kwa idara zote na mwisho wa siku fehd ayetu itakuwa kama ya Uganda enzi za Idd Amini