Federal Judge halts President Trump's Executive order on travel ban

marekan haijawah pata rais k.i.l.a.z.a, trump sio chiz ukitaka kujua km jamaa ni noma tuangalie nn atafanya ,anajua nn anafanya kwan w unazan yy alikuwa hajui km kuna uhuru wa mahakama,huyo jamaa ni noma, tafuta vitab vyake usome ndo utajua trump n mtu wa aina gan
U
I salute you mkuu, Trump ni binadamu mwenye mahesabu makali sana - wapi aliwahi kushindwa akidhamilia kufanya kitu - mwisho wa siku anahibuka mshindi against all odds - huyo Jaji anasukumwa zaidi na mob saikoloje inayo pandikizwa na kundi la kifaidhina wasiopenda mabadiriko ya kweli ya kiutawala iliyo zoeleka miaka nenda rudi i.e watu wachache Merikani wanao jiona ni ruling class/wana hati miliki ya kuwatawala wengine - ndiyo maana Trump alitamuka wazi wazi kwamba anataka wananchi ndiyo wawe na mamlaka/madaraka ya kujiendesha na siyo kikundi cha watu wachache.

Raia wengi wana support efforts za Trump kulinda usalama wa ndani wa Taifa lao, wasio mpenda kisiasa/misimamo ya Trump ndiyo wanaeneza taarifa potofu, gharimia maadamano na kampein chafu kupitia Social Network ili wafanye Dunia idhani/amini kwamba: Trump hafai, Trump ni mbaguzi, Trump ni tishio kwa amani Duniani !! Madai yote hayo hayana ukweli wowote if anything Hillary ndiye alikuwa tishio kwa amani Duniani na kusema kweli ndiye angekuwa chanzo cha WW3.

Binafsi ningependekeza Trump amtimue kazi huyo Jaji kama kuna uwezekano, Viongozi ambao hawataki kufuata maelekezo au sera za Trump waondoke zao/tafute shughuli nyingine ya kufanya na sio kujaribu kuweka wrench kwenye malengo Trump ya kuindeleza nchi yake ikiwemo kulindia Taifa lake dhidi ya external threat which is real.
 
Ni mwendo wa Katiba inasemaje na inafatiliwa ipasavyo bila kubadilishwa wala figisu.

Their Institutions are strong too, they're looking into serving the People, and not the President.
Kama ilivyosemwa huko juu, hope tujifunze from all this.
 
Hana mamlaka hayo, atakuwa anazidi tu kujiharibia mambo. Yeye anachoweza kufanya ni kuiomba mahakama izuie kwa muda utekelezaji wa amri hiyo ila kwa sasa inabidii aitii hukumu kama ilivyotolewa na mahakama. Na huu ni mwanzo tu, kwa Marekani Rais si mungu-mtu na akivunja Katiba inabidi awajibishwe kama mhalifu yeyote yule.

Ni mahakama tu yenye jukumu la kutafsiri sheria na hili jambo likitinga mahakamani linaweza kuzua balaa zaidi kwani kama itathibitika kavunja Katiba itakuwa balaa. Hii ndiyo maana msemaji wa Rais imebidi atoe tamko tofauti na alivyokurupuka mwanzo alipooiita hukumu ya Jaji outrageous jambo linaloweza kutafsiriwa kama kuidharau mahakama.
Last week kupitia CNN, mchambuzi mmoja (jina limenitoka) akizungumzia juu ya kumfuta kazi yule Mama Kaimu AG alisema, kumfuta kazi sio suluhu la urais wake au jambo hili. Anachotakiwa ni kufanya vitu ambavyo ni "credible and sensible" kwa taifa kiasi kwamba watekelezaji na wasimamiaji wa sheria au sera husika hawataona ukakasi kuisimamia. Vinginevyo anaweza kufukuza wataalam wote Serikalini na kuweka wapya walio tayari kumtii yeye, kitu ambacho ni hatari kwa Taifa na hakijawahi kufanywa na Rais yeyote wa Marekani. Kwasababu si Rahisi kwa wataalam wa marekani kuwapigia mdundiko na wao wacheze kama huku kwetu. Kwa kifupi Huyu Rais ni mzigo kama yule...
 
Trump was and still he is right on that argument!!! We should ask our selves "why we should love people who hate them selves??" Those countries proved to us that they have full of hatrate between each other. And if so why it is so important for them to fight in order to live in US while they have their own countries.
 
Last week kupitia CNN, mchambuzi mmoja (jina limenitoka) akizungumzia juu ya kumfuta kazi yule Mama Kaimu AG alisema, kumfuta kazi sio suluhu la urais wake au jambo hili. Anachotakiwa ni kufanya vitu ambavyo ni "credible and sensible" kwa taifa kiasi kwamba watekelezaji na wasimamiaji wa sheria au sera husika hawataona ukakasi kuisimamia. Vinginevyo anaweza kufukuza wataalam wote Serikalini na kuweka wapya walio tayari kumtii yeye, kitu ambacho ni hatari kwa Taifa na hakijawahi kufanywa na Rais yeyote wa Marekani. Kwasababu si Rahisi kwa wataalam wa marekani kuwapigia mdundiko na wao wacheze kama huku kwetu. Kwa kifupi Huyu Rais ni mzigo kama yule...


Running a country isn't the same as running tiramp org. Where everyone had to say Yes, to everything he said.
 
U
Binafsi ningependekeza Trump amtimue kazi huyo Jaji kama kuna uwezekano, Viongozi ambao hawataki kufuata maelekezo au sera za Trump waondoke zao/tafute shughuli nyingine ya kufanya na sio kujaribu kuweka wrench kwenye malengo Trump ya kuindeleza nchi yake ikiwemo kulindia Taifa lake dhidi ya external threat which is real.
Trump amtimue Jaji! thubutu, ujinga kweli mzigo. Mbona ameshatii tayari na amri aliyoitoa tayari ni batili kwa sababu ni imedaiwa ni kinyume na Katiba ya nchi. Soma historia ya Marekani, huko watu wamestaarabika na ujinga kama huu tunaoushuhudia hapa Bongo hauna nafasi. Kabla ya kumfukuza Jaji atatangulia yeye kutolewa mkuku Ikulu.
 
Trump amtimue Jaji! thubutu, ujinga kweli mzigo. Mbona ameshatii tayari na amri aliyoitoa tayari ni batili kwa sababu ni imedaiwa ni kinyume na Katiba ya nchi. Soma historia ya Marekani, huko watu wamestaarabika na ujinga kama huu tunaoushuhudia hapa Bongo hauna nafasi. Kabla ya kumfukuza Jaji atatangulia yeye kutolewa mkuku Ikulu.


Kama kazi ni kufukuza tu, sijui atafukuza wangapi sasa. Sally Yates walisema ni leftover wa Obama anyways, na huyu sasa siju itakuwa vipi.

BAK kuna mtu anamtunishia misuli Boss huku,..."the so called Judge" :)
 
The so called President who is respected by very few in his own country and around the World. Hii miaka minne ni shida tupu!

Kama kazi ni kufukuza tu, sijui atafukuza wangapi sasa. Sally Yates walisema ni leftover wa Obama anyways, na huyu sasa siju itakuwa vipi.

BAK kuna mtu anamtunishia misuli Boss huku,..."the so called Judge" :)
 
  • Thanks
Reactions: kui
  1. Trump amtimue Jaji! thubutu, ujinga kweli mzigo. Mbona ameshatii tayari na amri aliyoitoa tayari ni batili kwa sababu ni imedaiwa ni kinyume na Katiba ya nchi. Soma historia ya Marekani, huko watu wamestaarabika na ujinga kama huu tunaoushuhudia hapa Bongo hauna nafasi. Kabla ya kumfukuza Jaji atatangulia yeye kutolewa mkuku Ikulu.

Kitu cha kwanza kuheshimiana na binadamu mwenzako doesn't cost you a penny, no.2 FYI historia ya Merikani naijua vizuri sana 'am not as naive kama unavyo fikiria.

Narudia kusema Jaji huyo ana chuki binafsi na Trump, kumbuka aliteuliwa na Bush Jr, tunajua angependa sana Jeb Bush ndiye awe Rais wa Marekani ili waendeleze Ufalme, Jaji hana cha ku uphold sheria/katiba ya Taifa lao wala nini sijui, hapa analeta maigizo tu just to teach Trump a lesson - wapenda amani wote Duniani na Nchini mwake wanajua fika kwamba anacho simamia Trump ni sahihi kabisa, tumeshuhudia mara ngapi hapa mauuaji yanayo tekelezwa na majority ya watu wanao jifanya wahamiaji/wakimbizi wa kisiasa alafu baadae wanagehuka magaidi? Ukiangalia utakuta wengi wao wanatoka katika Mataifa ambayo Trump ameyataja - tuangalie mauuaji ya kigaidi yanayo endelea huko Ufaransa, Ujerumani,Uholanzi na Uingereza - mtu mwenye akili timamu anaweza kumlahumu Trump kweli?

Mbona nchi za Kiarabu kama Qatar, Kuwait na Saudi Arabia wanahunga mkono hatua alizo chukua Trump kulinda Taifa lake dhidi ya Ugaidi.

Jaji anatumia madaraka yake kutimiza malengo ya kisiasa tu hana lolote, anapata shinikizo kutoka kwa akina Hillary, Obama, Soros, Jeb Bush, McCaine na ma neocon wote - nani alijuhi hilo?

Lengo kuu la kundi tajwa hapo juu wanatafuta kila njia ya kumuwekea trip wires Trump ili akikosea kidogo tu waseme kakihuka katiba/sheria ya nchi wapate sababu ya kumu-impeach, wako very obsessed kumuondoa madarakani Trump kwenye term yake ya kwanza - kisa? ana msimamo thabiti, hakuna anayeweza kumununua au kumuyumbisha, binafsi nina hakika Trump ashindwi kitu anajua wazi mitego wanayo taka kumuwekea lakini mwisho wa siku katazo la Jaji litatupiliwa mbali Trump aki-appeal hivyo kumuweka huru kutimiza ahadi alizo wahaidi wapiga kura wake na siyo hawa majambazi wapenda vita na vurugu.

Sijui kwa nini baadhi yetu hatutaki kujifunza kitu linapo kuja suala la Trump as a person! Binadamu huyu amepitia majaribu mangapi ya kutaka kumdhalilisha, kumzulia mambo yenye lengo la kuhakikisha hapati nafasi ya kugombea kiti cha Urais, sasa mbona alishinda mitego/majaribu yote hayo mpaka wapinzani wake wakapata aibu - kwa nini mfikirie hili la Jaji litakuwa tofauti na ujinga mwingine walio wahi kumfanyia Trump - yetu macho, lakini nina uhakika Trump atashinda njama za Jaji na kundi lake - Trump ni chaguo la Mungu - tupende tusipende.
 
Kama kazi ni kufukuza tu, sijui atafukuza wangapi sasa. Sally Yates walisema ni leftover wa Obama anyways, na huyu sasa siju itakuwa vipi.

BAK kuna mtu anamtunishia misuli Boss huku,..."the so called Judge" :)

Mkuu we subiri, atamtimulia mbali kama alivyo mtimua Yates - awawezi kuleta hidden agenda zao za kisiasa za kutaka kumuhujumu Trump kwa kisingizio cha kulinda Katiba. Waende zao watafute shughuli nyingine za kufanya, wakubali kwamba Rais wao ni Trump na si Hillary, Jeb Bush au Obama - wapiga kura wamekwisha fanya mapinduzi takatifu kupia kwenye ballot box - ruling class hawana chao tena.
 
Mbona unajikanyagakanyaga!! Unamzungumzia articles alizoandika wakati judge katumia Katiba yao! Are you sober? Or insane?
mkuu marekan sio km nchi nyingne mpk wakupe urais jua kna sababu tna ya msing,kwa trump ilo swala la travel ban litawezekana tu coz jamaa hajawai shindwa ,ww tizama ishu ya ukuta ,ata mm nlijiuliza huyu atawalazimisha vp mexico lkn now ndo tunaelewa jamaa alikuwa anawaza nn, so ata ilo swala la ban yy alifaham ktambo km kna watu watampinga mahakaman ,so lazma atakuwa ana njia mbadala
 
Kitu cha kwanza kuheshimiana na binadamu mwenzako doesn't cost you a penny, no.2 FYI historia ya Merikani naijua vizuri sana 'am not as naive kama unavyo fikiria.

Narudia kusema Jaji huyo ana chuki binafsi na Trump, kumbuka aliteuliwa na Bush Jr, tunajua angependa sana Jeb Bush ndiye awe Rais wa Marekani ili waendeleze Ufalme, Jaji hana cha ku uphold sheria/katiba ya Taifa lao wala nini sijui, hapa analeta maigizo tu just to teach Trump a lesson - wapenda amani wote Duniani na Nchini mwake wanajua fika kwamba anacho simamia Trump ni sahihi kabisa, tumeshuhudia mara ngapi hapa mauuaji yanayo tekelezwa na majority ya watu wanao jifanya wahamiaji/wakimbizi wa kisiasa alafu baadae wanagehuka magaidi? Ukiangalia utakuta wengi wao wanatoka katika Mataifa ambayo Trump ameyataja - tuangalie mauuaji ya kigaidi yanayo endelea huko Ufaransa, Ujerumani,Uholanzi na Uingereza - mtu mwenye akili timamu anaweza kumlahumu Trump kweli?

Mbona nchi za Kiarabu kama Qatar, Kuwait na Saudi Arabia wanahunga mkono hatua alizo chukua Trump kulinda Taifa lake dhidi ya Ugaidi.

Jaji anatumia madaraka yake kutimiza malengo ya kisiasa tu hana lolote, anapata shinikizo kutoka kwa akina Hillary, Obama, Soros, Jeb Bush, McCaine na ma neocon wote - nani alijuhi hilo?

Lengo kuu la kundi tajwa hapo juu wanatafuta kila njia ya kumuwekea trip wires Trump ili akikosea kidogo tu waseme kakihuka katiba/sheria ya nchi wapate sababu ya kumu-impeach, wako very obsessed kumuondoa madarakani Trump kwenye term yake ya kwanza - kisa? ana msimamo thabiti, hakuna anayeweza kumununua au kumuyumbisha, binafsi nina hakika Trump ashindwi kitu anajua wazi mitego wanayo taka kumuwekea lakini mwisho wa siku katazo la Jaji litatupiliwa mbali Trump aki-appeal hivyo kumuweka huru kutimiza ahadi alizo wahaidi wapiga kura wake na siyo hawa majambazi wapenda vita na vurugu.

Sijui kwa nini baadhi yetu hatutaki kujifunza kitu linapo kuja suala la Trump as a person! Binadamu huyu amepitia majaribu mangapi ya kutaka kumdhalilisha, kumzulia mambo yenye lengo la kuhakikisha hapati nafasi ya kugombea kiti cha Urais, sasa mbona alishinda mitego/majaribu yote hayo mpaka wapinzani wake wakapata aibu - kwa nini mfikirie hili la Jaji litakuwa tofauti na ujinga mwingine walio wahi kumfanyia Trump - yetu macho, lakini nina uhakika Trump atashinda njama za Jaji na kundi lake - Trump ni chaguo la Mungu - tupende tusipende.
habari za masiku mkuu? hivi ndugu yangu hizo conspiracy theories kwanini huwa hauchanganyi na za kwako? huwa sipendi kujihusisha na maamuzi ya nchi zingine lakini nionapo watu kama wewe wanaoshadadia ubaguzi, chuki... huwa inaniuma sana! sasa kama jambo ni ugaidi sasa mbona sioni angalau Saudis, Pakistani na makanjanja wengineo wengi tu? usione wamarekani kuja juu ndio ufikilie sababu ni hizo za ugaidi, ni chuki tu dhidi ya watu fulani! wenye akili wanaandamana kwa sababu wanajuwa nchi yao ni ya wageni tena vilevile hao waliozuiliwa wana wakilisha 30% ya madaktari ndani ya US, wanasema Apple isingekuwepo kama msirya asingeruhusiwa kuingia? na vilevile cha muhimu zaidi, wanashangaa juhudi zake za kuiweka nchi safe, wanasema mauwaji nchini Marekani rekodi yake ndio hiyo hapo chini... sasa wewe unaona nani anayetakiwa kuzuiliwa zaidi? hebu msaidie Turampu kufikiri na sio ku...
C3UNOZ4UMAEzwjf.jpg
 
Mahakama yakataa rufaa ya Trump
  • 5 Februari 2017

_93966257_5bb67fdd-16b1-4d95-94ac-8af3cb6255dd.jpg


Mahakama ya rufaa nchini Marekani imekataa ombi kutoka kwa idara ya haki nchini humo la kutaka kurejeshwa amri ya Trump ya kupiga marufuku wasafiri kutoka nchi saba zenye waislamu wengi kuingia Marekani.

Serikali ilikuwa imeitaka mahakama kurejesha amri hiyo baada ya uamuzi wa jaji kwenye mahakama ya Seatttle wa kupiga marufuku amri hiyo.

Bwana Trump alikashifu uamuzi huo wa jaji akisema kuwa unaiweka Marekani kwenye hatari ya kushambuliwa na magaidi.

Mashirika makubwa ya usafiri wa ndege, yangali bado yanawakubalia raia kutoka mataifa hayo husika, kuabiri ndege na kuingia Marekani.

Kumekuwepo na maandamano dhidi ya marufuku hiyo ya Trump huko Washington, jimbo la Miami na miji mingine kadhaa ya Marekani, pamoja na miji mingine mikuu ya bara Ulaya.

Wakati huo huo, Rais Trump ametetea uhusiano wake na Rais Vladimir Putin, katika mahojiano ya Runinga, huku akikataa kupinga madai ya mtangazaji kuwa Rais huyo wa Urusi ni muuaji.

Katika mahojiano ambayo yatapeperushwa na runinga ya Fox News baadaye leo Jumapili, Bwana Trump ameashiria kuwa Marekani isijifanye kutokuwa na hatia, kwani pia ina wauaji wengi.

Amesema kuwa anamheshimu Bwana Putin, na itakuwa jambo bora zaidi ikiwa Urusi itasaidia Marekani kupambana na wanamgambo wa kundi la Islamic State
 
Jaji hana mamlaka ya kufuta Executive order ambayo inampatia rais wa US kufanya maamuzi ambayo yana maslai kwa taifa bila ya kupitia (CMP) Constitution mojor policy kwani unaweza kwenda jela miaka 15 kwa kufanya unauthorised operation without congressional approval
Pia Executive order trump aliyotumia kuzuia watu kutoka nchi 7 ni Presidential determination(uamuzi wa rais)
kwani kuna Executive order za aina tatu
1 Presidential determination(uamuzi wa rais)
2 Presidential memorandum(mkataba wa rais)
3 presidential notice( Ilani ya rais)
Hii Executive order inampa mamlaka rais ya kutengua uteuzi wa mtumishi yeyote wa serikali ambae ameteuliwa na rais au ambae yupo chini ya mamlaka ya serikali ikiwamo jaji kwani tayali kaimu mwanasheria mkuu tayali Executive order hii imekwenda na cheo chake lakini rais hana mamlaka ya kutengua wale waliochaguliwa na wananchi kama member of Congress na senate
So alichofanya jaji ni kuruhusu wale ambao walikuwa wanazuiwa Airport na tayali walikuwa na Visa US kabla Executive order aijasainiwa lakini wale ambao imewakuta tayali imesainiwa imekula kwao lakini bado serikali imekataa hata hvyo na wamekata rufaa
 
Back
Top Bottom