Hollo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 827
- 165
Samahani sijakuelewa tunashindana nini na mdogo wako?Samahani lakini, ila nina mdogo wangu wa kike naona mnashindana
Watu mbona huwa wanasema kwamba yanasafisha kibofu! Ila niliwahi kuhoji kama kweli yanasafisha kibofu mbona hayawekwi wala kuhimizwa Hospitalini, jamaa wakaikimbia hoja yangu.