Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.
Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,
"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.
Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.
Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.
Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,
"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.
Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.
Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.
Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️