Fatma Karume: Wamasai waheshimu Sheria zetu Wazanzibar

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,304
Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.

Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,

"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.

Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.

Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.

Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume

Screenshot_20240201-165359.jpg


Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 ✍️
 
Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.

Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,

"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.

Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.

Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.

Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume

View attachment 2890893

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
Halafu analalamika kwa nini kaachwa.....huyu dada ni problematic sana....
 
Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.

Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,

"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.

Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.

Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.

Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume

View attachment 2890893

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 ✍️
Wanavunja sheria za jinai?
 
Mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Fatma Karume, ameunga mkono suala la Wamasai kukatazwa kutembea na Silaha huko Zanzibar.

Kupitia ukurasa wake wa "X" Fatma amesema,

"Ukibeba silaha Zanzibar unavunja Sheria za Jinai, Utamaduni si sababu ya kuvunja sheria.

Wazenji tuna utamaduni wa kubeba HANJAR, hatuzibebi kwasababu ni uvunjifu wa Sheria.

Wamasai waheshimu sheria, Wasibebe silaha hakuna SIMBA ZNZ.

Hakuna haja ya kujilinda na panga ukitoka."- Fatma Karume

View attachment 2890893

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
Wa Yemen wao wanatembea na majambia kiunoni na huo ndiyo utamaduni wao
Mwambie fatma huko x

Ova
 
Back
Top Bottom