Kuna tangazo ambalo linalenga kuwaepusha akina dada (hasa wale wenye umri mdogo) na uchu wa akina baba wapenda ngono. Binafsi sina tatizo sana na ujumbe uliomo kwenye matangazo haya, tatizo langu ni kwamba mbona wanaandamwa akina baba tu? Je, hakuna akina Mama ambao ni FATAKI??????