Somalia wanatakiwa wapate long term solutions to their problems. Hata wakipewa chakula cha kuwatosha say 3 months then what? Baada ya mwaka hali itarudi tena palepale
Wanajikokota. Mwendo wa jongoo.
Utawaona hapa
Istanbul to host emergency OIC meeting on African famine | Top News | Reuters
Mkuu njaa haina muhammadans.(!!!???) wala westerners wala easterners.....hapa TZ ukali wa mgao wa umeme wanaupata CCM peke yao?
Poleni sana wanaSomalia njaa inawaua lakini Al Shabibu nayo ndio adui wenu namba moja na sio njaa. Mpaka mkiweza kuitokomeza Al shabibu basi mtaishia kufa na njaa hadi kiama
sijui iko wapi lakini hawa ni binadamu lazima wapatiwe misaada pale inapobidi kuliko kuwaacha wanakufa kama sisimiziMkuu why do you have to feel sorry? Where is OIC to help these mohammadans?
sijui iko wapi lakini hawa ni binadamu lazima wapatiwe misaada pale inapobidi kuliko kuwaacha wanakufa kama sisimizi
hio ndio cost ya ku-host al shabab and the alike-
hii nchi si imeshakuwa kama shamba la bibi-kila mtu anakuja haulizwi-miaka flani iliyopita walileta usumbufu wilaya moja ya arusha,wakaua mkuu wa kituo,tatzo wapo kwenye janga la njaa lakini hawataki misaada kutoka kwa foreigners-huko ni kukosa akili,Mkuu hata Tanzania ni just a matter of time, hawa majangili wa kisomali wameshazagaa hapa mjini
hii nchi si imeshakuwa kama shamba la bibi-kila mtu anakuja haulizwi-miaka flani iliyopita walileta usumbufu wilaya moja ya arusha,wakaua mkuu wa kituo,tatzo wapo kwenye janga la njaa lakini hawataki misaada kutoka kwa foreigners-huko ni kukosa akili,
somali have been cursed,ngoja waone ubaya wa alshabaab ili next time wawapinge
Wasomali wapumbavu sana wacha wapigwe njaa hadi waone rangi zote duniani. Wanazaliana kama mapanya huku wakijua hawana uwezo wa kujilisha wala kulisha watoto wao. Wacha njaa iwape somo "gumu" akili iwakae sawa. Wanazaana ili kupata wapiganaji wa Al shssbab waje kutulipua natamani naa inayowakabili itaongezwa mara dufu.
Kama umechukia hii coment kajinyonge lakini Habari ndio hiyo!
Mimi nachofanya kuwasaidia ni kuwaombea kwa Mungu hali yao iwe Bora ila nao wajifunze kwa akili walizopewa na Mungu na siyo kukesha wakipigana kama ma-mbwa!
Mkuu, unapenda sana mambo ya dini!That is one thing we have to ask ourselves and come to conclusion that OIC and/or its faith is just a scam and bogus, et al. The muhammadic fictitious "deity A" can't help and do a thing.
Mkuu, unapenda sana mambo ya dini!
Katika pita pita zangu nimeona hii ambayo inazungumzia ubatizaji wa majina kama judaism, christians, muhammadans
sio kuwa namuunga mkono mzungumzaji katika hiyo video lakini naona inapelekea mtu kujiuliza masuali.
‪La vérité sur L'Islam, a regarder c'est excellent‬‏ - YouTube
Diverse groups, clans,tribes, religions, races create one human family.
unajua kwaninini wazungu hufanikiwa sana?
Kwasababu wanasaidia sana. Mungu anawaongezea regardless ya mazambi yao
sisi waafrika ni binadamu wa tofauti kwa kiasi kikubwa....utakuta tajiri fulani ana mali nyingi , anakula na kusaza....hapo hapo unakuta kuna ndugu zake wanalala njaa....mbaya zaidi kuliko awasaidie ni bora kumwaga chakula..... Inasikitisha sana!
Wasomali wapumbavu sana wacha wapigwe njaa hadi waone rangi zote duniani. Wanazaliana kama mapanya huku wakijua hawana uwezo wa kujilisha wala kulisha watoto wao. Wacha njaa iwape somo "gumu" akili iwakae sawa. Wanazaana ili kupata wapiganaji wa Al shssbab waje kutulipua natamani naa inayowakabili itaongezwa mara dufu.
Kama umechukia hii coment kajinyonge lakini Habari ndio hiyo!
acha kutumi masaburi wewe hawa ni wasomali wenye asili TA
Mimi nachofanya kuwasaidia ni kuwaombea kwa Mungu hali yao iwe Bora ila nao wajifunze kwa akili walizopewa na Mungu na siyo kukesha wakipigana kama ma-mbwa!