leo dada
Senior Member
- Oct 26, 2023
- 193
- 626
Wengine tuna mitambo ya kutotolesha baba mpaka mimba tunaziogopa na nimeanza kuzaa ndani ya 30 hapa mimba 2 watoto 5Ukitaka watoto wengi kwa kutegemea mwanamke mmoja akuzalie hao watoto. Jitahidi umuoe mapema sana. Kabla hajazidi miaka 20 awe ameshaanza kukuzalia..
Wanawake wanapata mimba zisizo na changamoto wanapokuwa wadogo.
Ila ukioa mwanamke wa miaka 28 ama 30. Hawezi kukuzaliwa watoto wanne ama watano. Labda apate mimba za mapacha