Barbiedoll
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 606
- 1,694
Ada kubwa ya feza ni wale wanaosoma mtaala wa cambridge ila wale wa necta sio bei kubwa kwa mwakaWatoto wanne Feza...pa year 28milions....kumbe ada sio nyingi...
Ada kubwa ya feza ni wale wanaosoma mtaala wa cambridge ila wale wa necta sio bei kubwa kwa mwakaWatoto wanne Feza...pa year 28milions....kumbe ada sio nyingi...
Yaani mchepuko TU unadai "Marehemu kauachia mali zote hata watoto hawana chao". Nani atakubaliana na ujinga huo.!?pongezi kwa familia ya ruge, Ngoma ingekuwa yamoto kwa ndugu zangu wa kibororoni na pale same.
Ndivyo walivyo amua kuzigawa hivyo😳Mke wa rommy, makubwa
Kwahiyo zama ana mil 600 + maana ye ana watt 2
Aloooo🙌
Haswaaa na nguo.Wanaenda kufungua maduka ya vipodozi.
kabutua had kwa mzungu tena. WoiiihSana yule bite mwenye mtoto anaelingama na shuby amezaa na mzungu mwanawe mwingine nadhani
Yule demu alijua kumkomesha Zama jamani kaahh...hahahaa
YaanHahaaaaaaa
Nasikia 650Mke wa rommy, makubwa
Kwahiyo zama ana mil 600 + maana ye ana watt 2
Aloooo
Unatakaje?Hapo ulipo weka nukta ndiyo mwanzo, enhee...unatuambia mirathi ndiyo utunzaji wa watoto ati?
Kwendeni huko na udini wenu... kwani hapo kilichokosewa nini au huko kwenu mngesema watoto wote haramu asipate mtoto yeyote?Mirathi kwa njia ya kiislamu ndio kweli wamepatia haki 100%
Hakuna asie stahili kusogeza pua na kuchomoa mirathi. Mgawano uko wazi kabisa kila mrithi anapata kiasi gani.
Hata marehenu asipoacha usia, Urithi haugawanywi kinyemela sababu kila kitu kiko wazi.
Mirathi kwa njia ya kiislamu ndio kweli wamepatia haki 100%
Hakuna asie stahili kusogeza pua na kuchomoa mirathi. Mgawano uko wazi kabisa kila mrithi anapata kiasi gani.
Hata marehenu asipoacha usia, Urithi haugawanywi kinyemela sababu kila kitu kiko wazi.
Hapo ulipo weka nukta ndiyo mwanzo, enhee...unatuambia mirathi ndiyo utunzaji wa watoto ati?
Uanzie hapo kwenye nukta kuelezaUnatakaje?
Shida ni mwanamke kutaka watoto halali Tena wabia katika biashara za baba yao wasirithishwe eti "baba yao kaandika kwenye wosia" na eti "tayari wamesharithi Kwa upande wa mama yao" Hii inaweza kukuingia akilini!?Sababu mengi alifunga ndoa. Mke anajiamini sheria inamlinda. Ndugu nao wanaogopa mke asibebe mali zao. Ndio maana mahakamani kesi kibao.
Mengi angekuwa hajawai kuoa mgogoro usingekuwa mkubwa
Uongo mtupu umeandika hapa. Yule gold digger hakutaka watoto wa Marehemu wamrithi baba yao. Eti "Marehemu aliacha wosia wapewe 1000" .Huu upuuzi unaingia akilini!?Hata ungekuwa wewe. Tamaa lazima ingekujia... kinachowauma ni kuona mke anakula urithi wa baba yao.
Ndugu wengi wa mume huwa hawapendi mke apate mali. ..
Waafrica tuna amini mke wa kaka sio ndugu yetu. Ila watoto wa kaka ni ndugu zetu.
Hapo wanaona K lyn sio ndugu yao kwa nini apate mali zao. Ndio wanamtengenezea mizengwe mingi.
Kama mengi hasingekuwa na ndoa. Mgogoro usingekuwepo
Toka baba yao afariki walikua wanaishi kwenye mapango na kula mawe???Wanawake tafuteni kazi mfanye muwalee hao watoto maana na nyie ni wazazi.
Endelea kusubiri meli AirportUanzie hapo kwenye nukta kueleza
Ni maisha yao lakini. Mbona kama unachukia life style yao!? Kuna kitu wanakupunguzia!?Nani anaendesha kampuni? huyo msagaji? au huyo boya wa kiume, unaijua ipp vzuri wewe na wanaoiendesha tangia mzee akiwa hai ni akina nani? huyo wa kike anaendaga moshi kuchukua hela ya kwenda ngorongoro na mademu zake kuwasaga, hana anachojua, ungesema labda kidogo uncle wao ningekuelewa, ila huyo wa kike na hcho kiazi cha kiume, hamna kitu hapo,