Familia ya Mawazo na CHADEMA washinda kesi ya pingamizi la polisi, sasa kesi ya msingi kusikilizwa

kuna haja ya kuwashughulikia hao watumwa wanaowatumikia watu fulani kwa maslahi yao na familia zao. Hongera chdm
 
Habari nilizopata sasahivi ni kuwa ile Kesi ya Familia ya Marehemu Mawazo na CHADEMA dhidi ya Polisi Mwanza kuhusu kuzuia shughuli za Ibada imekwisha kwa familia na CHADEMA kupewa ushindi na shughuli hizo zitafanyika kama kawaida hapa Mwanza kama zilivyopangwa. Jiji zima liko katika shangwe na amani imetamalaki kinyume na kauli ya RPC NA RC Mulugo

Mimi mnisaidie tu kusikia chama kitaahidi nini kwa familia ya marehemu. Nakumbuka familia ya Mwangosi iliingizwa Town
 
Hatutaki kuona hotuba za kipuuzi katika zoezi la uagwaji wa marehemu.

Usijali hotuba zitaelezea wasifu wa Marehemu mpaka pale alipokuwa Diwani wa CCM kule Arusha. Kisha watasema mengine tuyaache tuu ili tusije muuzi RC Mulugo.
 
Polisi waliweka pingamizi Mahakamani kwamba kesi isisikilizwe. Hili pingamizi ndo lilikuwa linasikilizwa leo na Polisi Wameshindwa kwani utetezi wao haujajitosheleza na Mahakama imetupilia mbali pingamizi hilo.


Kesi ya Msingi ya kutaka mahakama itoe kibari cha kuaga mwili wa Mpendwa wao, sasa kuanza kusikilizwa baada ya Masaa Mawili kutoka sasa.
 
Hakukuwa na ulazima wa kuzuia hili..I hope atalazwa kwa amani soon.RIP Mawazo.

Kiongozi Upo?
Vipi hili hata Mzee wenu wa Hapa Kazi tu hakuliona au mapema zaidi kwake?.
Hii ndiyo CCM bana! Makada wa Chama wanakaba mpaka maiti isizikwe?.
Mengine ni aibu tupu-R>I>P Mawazo iko siku huko uliko utasikia sauti ya ukombozi ikitamalaki Bongo!
 
Sasa wamepata ile kick waliyokuwa wanatafuta...!

Tegemeeni kusikia haya kwenye mazishi ;

1. Uchaguzi wa Zanzibar
2. Kususia bunge
3. Katiba Mpya
4. Mfumuko wa bei
5. Lowassa alivyoibiwa kura..
6. Polisi wamemuua mawazo....





Mwisho:
Poleni wafiwa....

Mungu ailaze roho ya Marehemu Mawazo salama salmin...

Msiba huikutanisha jamii.Maovu hukemewa.Misingi ya haki hukumbushwa....!
 
Kuna wakati nashindwa kuelewa hawa maRC & RPC sijui wamesoma shule gani.


Habari nilizopata sasahivi ni kuwa ile Kesi ya Familia ya Marehemu Mawazo na CHADEMA dhidi ya Polisi Mwanza kuhusu kuzuia shughuli za Ibada imekwisha kwa familia na CHADEMA kupewa ushindi na shughuli hizo zitafanyika kama kawaida hapa Mwanza kama zilivyopangwa. Jiji zima liko katika shangwe na amani imetamalaki kinyume na kauli ya RPC NA RC Mulugo
 
Sasa wamepata ile kick waliyokuwa wanatafuta...!

Tegemeeni kusikia haya kwenye mazishi ;

1. Uchaguzi wa Zanzibar
2. Kususia bunge
3. Katiba Mpya
4. Mfumuko wa bei
5. Lowassa alivyoibiwa kura..
6. Polisi wamemuua mawazo....





Mwisho:
Poleni wafiwa....

Mungu ailaze roho ya Marehemu Mawazo salama salmin...

Labda wewe unataka waongee yapi ?? Au waongee Magufuli kanunua vitanda muhimbili ndo utajua wameongea unayoyafikiria
 
Hakika mahakama ziendelee kusimamia haki, utu na utamaduni wa watanzania bila kujali siasa na utashi wa wakubwa ili kudumisha usawa na amani katika taifa hil changa.

RPC, mkuu wa mkoa na CCM kwa ujumla bila shaka mmejifunza mengi kwa hukumu hii!!!!! CHADEMA endeleza utulivu na penye kudai haki daini kwa njia za kikatiba kama mlivyofanya ongereni sana kwa kujali amani ya taifa letu.
 
Usijali hotuba zitaelezea wasifu wa Marehemu mpaka pale alipokuwa Diwani wa CCM kule Arusha. Kisha watasema mengine tuyaache tuu ili tusije muuzi RC Mulugo.

chadema wananikumbusha wimbo wa akina marehemu Ngurumo wa KAMERA NA VIDEO MSIBANI. Leo mbona watazipiga sana tu
 
Hakukuwa na ulazima wa kuzuia hili..I hope atalazwa kwa amani soon.RIP Mawazo.

Ni kweli mkuu mimi sioni kama hili ni jambo la msingi kwa sasa. Nadhani someone is trying to glue UKAWA in benches of COURTS while JPM is making himself popular fast.
 
Kama Issue ilikuwa ni Kipindupindu kwenye kukusanyika kwenye mazishi je pale mahakamani palikuwa hakuna mikusanyiko ya watu waliokuwa wanasikiliza hiyo kesi??
 
Back
Top Bottom