Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Niseme wazi kuwa mchumba wa Dr ni mama hatari sana.
Habari iliyopo ni kuwa kumbe hati ya nyumba alimpa rafiki yake akakopee huko Equit Bank bila ya mzee kujua na mdaiwa alipobakiza deni la Mil kama 50 kaingia mitini na hata bank walipo toa notice ya kuuza Dr hakuwa amefahamishwa na mchumba mpaka imeuzwa kwa Mil 110 na ndio maana Dr yuko tayari kurudisha hizo 110 ikionyesha kuwa angejua mapema asingeshindwa kulipa hizo 50.
Kwa kweli hata kama penzi ni kikohozi hii sasa ni TB kabisa.
Mie binafsi sasa namuonea huruma Dr Slaa
Usimuonee huruma kwa sababu amesimama na mkewe anamuunga mkono japo Yule ni mtoto wa mjini hana huruma na Mzee ni design ya wachunaji