Wamekopa Equity bank.waliposhindwa kulipa bank ikauza nyumba na Ndama akainunuaHabar zenyewe hazieleweki mara Ndama mara Equip Bank kila mtu anasema lake
Niseme wazi kuwa mchumba wa Dr ni mama hatari sana.
Habari iliyopo ni kuwa kumbe hati ya nyumba alimpa rafiki yake akakopee huko Equit Bank bila ya mzee kujua na mdaiwa alipobakiza deni la Mil kama 50 kaingia mitini na hata bank walipo toa notice ya kuuza Dr hakuwa amefahamishwa na mchumba mpaka imeuzwa kwa Mil 110 na ndio maana Dr yuko tayari kurudisha hizo 110 ikionyesha kuwa angejua mapema asingeshindwa kulipa hizo 50.
Kwa kweli hata kama penzi ni kikohozi hii sasa ni TB kabisa.
Mie binafsi sasa namuonea huruma Dr Slaa
Tatizo n uwezo wako mdogo wa kuunganisha mambo...Habar zenyewe hazieleweki mara Ndama mara Equip Bank kila mtu anasema lake
Hakuwasaidia kushinda uchaguzi.Slaa awaombe ccm wamlipie si maswahiba wake toka mwaka jana?
Ahsante sana kwa hoja ya hekimaLaana zingine bana wacha tu. Inafaa binadamu ajue kwamba maneno ya watu hasa laana inakuwaga kweli. Utashangaa viongozi wa leo wanawavunja maskini nyumba, watoto wanalia, wamama, wazee etc halafu ukadhani yatapita. Infact mateso wayapatayo yatamrudia yeye asababishae mara tatu. Hii ni sheria ya universe iitwayo karma.
Sasa mzee Muhogo alitegemewa na wengi kisiasa hata kama sio uraisi lakini alikuwa na mchango wake. Ubinafsi, ukasababisha mwanamke akamdanganya akaingia kingi ile ya CCM aliyoikataa miaka yoye. Akapokea vipande vya fedha akasaliti wafuasi wake. Wafuasi wamelia na sasa Mzee anaanza kupata adhabu kutoka kwake mwenyewe.
Mkuu CCM walishindwa mlipia kada wao Marehemu Komba itakuwa huyu Kasisi ,unajua kilichotokea kwa Komba mtu aliyewapigania CCM muda wote wa maisha yake na bado wanatumia nyimbo zake mpaka sasa lakini walimtosa kipindi cha matatizo, CCM sio mkuu.Slaa awaombe ccm wamlipie si maswahiba wake toka mwaka jana?[/QU
Alichukukulia mkopo wewe koHivi deni alipataje wkt nyumba alijengewa na chama? si aliwahi kukiri chama kumjengea nyumba?
Habar zenyewe hazieleweki mara Ndama mara Equip Bank kila mtu anasema lake
Babu hakukopa, ni Jossie aliyechukua hati ya nyumba na kumpa "rijali" wake bwana Swalehe aende kuombea mkopo Equity Bank,... Jamaa alikwama kurejesha 50M hivyo Equity Bank wamechukua jukumu la kuipiga mnada na aliyeinunua ni Pedeshee Ndama Mutoto ya Ng'ombeDr. Slaa kamanda aliyevua gwanda ktk ya Mapambano... Alisahau dhana ya "Collective Responsibility"
Japo alikanusha kukopa.. Ikiwa kweli amekopa naomba mungu amvushe salama.
Ni ujinga kufurahia anguko la mwenzako...
Pole sana Dr. Slaa.
Mkuu mke wake ana matumizi makubwa kwenye mkorogoHii kitu ni very serious aise, kweli dr amefikia hapo? Kalishwa nini?
Kufuatia lile sakata la nyumba ya Dr. Slaa limeibuka upya baada ya familia ya Dr Slaa kumlilia Ndama mtoto wa ng'ombe awape Hiyo nyumba kwa kumrudishia fedha zake alizonunua kutoka mnadani.
Ndama amegoma amesema Kama wanataka wammpe mil 440m ambayo ni mara nne ya bei aliyoinunulia kutoka kampuni ya madalali.
Hapo babu kaingia choo cha kiume.