Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,376
Habari wana JF???
Wewe ni baba umeoa mwanamke aitwaye Bahati (Jina ni Mfano tu) na umezaa nae mtoto aitwae Zawadi.
Siku zote una gari yako na mkeo pia anayake ya kuendea ofisini kwake, siku ya siku gari yako ukapeleka gereji ikakulazimu uchukue ya mkeo coz yeye anatulia tu ofisini ila shuguli zako ni mizunguko mingi ila ulimuahidi utampeleka ofisini na utamfuata pia!!!
Ulimpeleka asubuhi ukaondoka then jioni ukamfuata na ukamkuta hayupo tayari ikakulazimu umsubiri, ukajifungulia radio na kulaza siti ukajinyoosha humo kwenye gari ukimsubiri mkeo!!
Ukiwa kwenye gari lilikuja kundi la wafanyakazi wenzie na mkeo pale kwenye parking ulipo ila wao wakiingia kwenye magari yao pia, mara baadhi yao walikuja karibu kabisa na gari uliyomo na mmoja akaanza kuongea; ` Sema babaa Bahati a.k.a. baba mdogo wa Zawadi tena inawezekana yule mtoto ni wa kwako mbona mmefanana makomo hivyo? naona umepozi karibu kabisa na gari ya mamaa, leo kakuachia uende nayo nini?? Jamaa yake anavyompenda mkewe akikikujua atakutenda mbaya, achana na wake za watu!!!
Jamaa likajibu, `Acha kunizingua bana mie nimeanza nae mwaka jana mwanzoni wakati mtoto wake ana miaka minne sasa! Siwezi endesha gari aliyonunuliwa na mumewe, angenunua yake sawa. Aaaah!! Wapi simuachi aiseee!!! Lile zigo ukilikamatia ******** alooo siliachi!!!`
Badae jamaa wakaondoka zao bila kuwa makini kama mule ndani ya gari kuna mtu, baada ya muda akaja mkeo mkaondoka!!
The man is falling again, hana raha na anasema kabisa kuwa usingle unanukia!! Ia hajachukua hatua yoyote mpaka sasa!!
SAsa wewe ndo huyo baba, utachukua maamuzi gani, na wewe mama utajiteteaje na huo msala??
Wewe ni baba umeoa mwanamke aitwaye Bahati (Jina ni Mfano tu) na umezaa nae mtoto aitwae Zawadi.
Siku zote una gari yako na mkeo pia anayake ya kuendea ofisini kwake, siku ya siku gari yako ukapeleka gereji ikakulazimu uchukue ya mkeo coz yeye anatulia tu ofisini ila shuguli zako ni mizunguko mingi ila ulimuahidi utampeleka ofisini na utamfuata pia!!!
Ulimpeleka asubuhi ukaondoka then jioni ukamfuata na ukamkuta hayupo tayari ikakulazimu umsubiri, ukajifungulia radio na kulaza siti ukajinyoosha humo kwenye gari ukimsubiri mkeo!!
Ukiwa kwenye gari lilikuja kundi la wafanyakazi wenzie na mkeo pale kwenye parking ulipo ila wao wakiingia kwenye magari yao pia, mara baadhi yao walikuja karibu kabisa na gari uliyomo na mmoja akaanza kuongea; ` Sema babaa Bahati a.k.a. baba mdogo wa Zawadi tena inawezekana yule mtoto ni wa kwako mbona mmefanana makomo hivyo? naona umepozi karibu kabisa na gari ya mamaa, leo kakuachia uende nayo nini?? Jamaa yake anavyompenda mkewe akikikujua atakutenda mbaya, achana na wake za watu!!!
Jamaa likajibu, `Acha kunizingua bana mie nimeanza nae mwaka jana mwanzoni wakati mtoto wake ana miaka minne sasa! Siwezi endesha gari aliyonunuliwa na mumewe, angenunua yake sawa. Aaaah!! Wapi simuachi aiseee!!! Lile zigo ukilikamatia ******** alooo siliachi!!!`
Badae jamaa wakaondoka zao bila kuwa makini kama mule ndani ya gari kuna mtu, baada ya muda akaja mkeo mkaondoka!!
The man is falling again, hana raha na anasema kabisa kuwa usingle unanukia!! Ia hajachukua hatua yoyote mpaka sasa!!
SAsa wewe ndo huyo baba, utachukua maamuzi gani, na wewe mama utajiteteaje na huo msala??