Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,059
Sasa analalamika nini ?!. Ukishajichanganya ukazaa na mwenye family nyingine, inabidi ufuate utaratibu.Mama yake hataki hata kumsikia yule mke wa Sugu
Visa hivyo ni vingi. Huyo Faiza kamfanya mwanae duka au hata ATM