zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
I'm getting nervous right now
I don't know what's wrong with me.
I have tried so many times to find a girlfriend but all of those I meet I feel like I can't
Nimejaribu Ila imeshindikana kila ninayempenda anaona hatuendani..
Nilimpenda wa kwanza (Girl) akaniambia "Penzi ni pesa siwezi kuwa nawe nipate shida bana kama huna hela tafuta mwenzako"
Nilimpenda wa pili (girl)akaniambia
"We sio saizi yangu hata kuvaa hujui ushamba unao mwingi bado mi level zingine"
Nilimpenda wa tatu (Girl)akaniambia
"Mi siko tayari kuolewa maisha haya ya tit for tat ndo nishayazoea kukaa na mwanaume siwezi"
Nilimpenda wa nne (Girl)akaniambia
"Mdogo wangu sasa wewe tutaongea nini hata hujafikia nusu ya elimu yangu ntakua nakuonea tafuta unaye endana naye''
Nilimpenda wa tano (Girl)akaniambia "mi nataka kuoelewa na mwanaume wa kabila langu we tafuta unaye endana nae kabila"
Sasa nimechoka nimenyoka kama rula
Mawazo yamenijaa
Sijui kama ntampata ambaye tutaendana kweli?
I don't know what's wrong with me.
I have tried so many times to find a girlfriend but all of those I meet I feel like I can't
Nimejaribu Ila imeshindikana kila ninayempenda anaona hatuendani..
Nilimpenda wa kwanza (Girl) akaniambia "Penzi ni pesa siwezi kuwa nawe nipate shida bana kama huna hela tafuta mwenzako"
Nilimpenda wa pili (girl)akaniambia
"We sio saizi yangu hata kuvaa hujui ushamba unao mwingi bado mi level zingine"
Nilimpenda wa tatu (Girl)akaniambia
"Mi siko tayari kuolewa maisha haya ya tit for tat ndo nishayazoea kukaa na mwanaume siwezi"
Nilimpenda wa nne (Girl)akaniambia
"Mdogo wangu sasa wewe tutaongea nini hata hujafikia nusu ya elimu yangu ntakua nakuonea tafuta unaye endana naye''
Nilimpenda wa tano (Girl)akaniambia "mi nataka kuoelewa na mwanaume wa kabila langu we tafuta unaye endana nae kabila"
Sasa nimechoka nimenyoka kama rula
Mawazo yamenijaa
Sijui kama ntampata ambaye tutaendana kweli?