Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,811
- 59,367
Hivi unakumbuka list ya vitu vinavyoniturn on? ,hakyanani akiamka utamlaza
Hahahahha, namwekea barafu.
Hivi unakumbuka list ya vitu vinavyoniturn on? ,hakyanani akiamka utamlaza
Boss bana, we kweli mwandishi wa udaku maana umeshindwa kusema "labda kama kuna mboa za majani pembeni" ili gazeti liuzike.ha haaa umenikumbusha gazeti letu la udaku....'supestar lizzy asema yeye hali ugali na maharage lol
mwanaume anaemtaka ajiandae kwa ma burgers na ma pizza lol
Boss bana, we kweli mwandishi wa udaku maana umeshindwa kusema "labda kama kuna mboa za majani pembeni" ili gazeti liuzike.
Seriously though, labda ule wa kishule shule ambao maharage hata hayaungwi.Ila haya ya kuungwa mi naona yanapendeza kwa wali na chapati bila kuhitaji mboga nyingine pembeni.
Ohhh yeahhh, sema mimi napenda mekundu zaidi. Ohhhh na njegere napenda kama sina akili nzuri. . . yani zikipikwa na wali naweza kusahau neno kushiba.ili gazeti liuzike wwanachukua nusu,nusu wanakuachia..lol
nimekuuliza unayajua maharage meupe?yaani hayo na wali
au maharage ya mawese....acha kabisa...
Dah! sasa akikuwa frozen? au maharage yanasaidia na hii pia?Hahahahha, namwekea barafu.
Mkuu kuna yale maharage combat kama avatar ya King'asti, yale ukiyapatia na ka ugali moto moto nakwambia unamsahau waifu na nyumba ndogo kwa masaa kadhaa.ili gazeti liuzike wwanachukua nusu,nusu wanakuachia..lol
nimekuuliza unayajua maharage meupe?yaani hayo na wali
au maharage ya mawese....acha kabisa...
Ukitaka ya mawese njoo kigoma ujionee... Mimwenyewe hapa nina PhD ya kupika maharage hayoili gazeti liuzike wwanachukua nusu,nusu wanakuachia..lol
nimekuuliza unayajua maharage meupe?yaani hayo na wali
au maharage ya mawese....acha kabisa...
Ukitaka ya mawese njoo kigoma ujionee... Mimwenyewe hapa nina PhD ya kupika maharage hayo
heheeh sio mtabiri lakini hapa nina uhakika maharage ni second on the list lolnitakuja huko aisee lol
nitakuja huko aisee lol
we Klorokwini unanitakia nini? @ The Boss, tafadhani njoo na Mrs Boss nimfundishe pia. hahahahaheheeh sio mtabiri lakini hapa nina uhakika maharage ni second on the list lol
Dah! sasa akikuwa frozen? au maharage yanasaidia na hii pia?
The Boss akiaghirisha naomba na mimi nifikiriwewe Klorokwini unanitakia nini? @ The Boss, tafadhani njoo na Mrs Boss nimfundishe pia. hahahaha
Njoo tu na wewe. Mlete na Husney...The Boss akiaghirisha naomba na mimi nifikiriwe
Husny amepata viza ya zimbabwe hayuko nchini, itabidi nikuje tu mwenyewe, nitahakikisha nakuwa na maadili, naahidi kuwa muda wote wa ugeni nitaweka macho chini na sitoangalia kifuani kwako. Eee mola nisaidie. Tusemeni amen!Njoo tu na wewe. Mlete na Husney...
alafu wewe nimesha kushtukia, una mautundu ya chini chini. Pale uliposema MAharage yamefanyiwa research nimesha edit, ulidhani mod sikuona? I keep an eye on you from now on... :ranger:Husny amepata viza ya zimbabwe hayuko nchini, itabidi nikuje tu mwenyewe, nitahakikisha nakuwa na maadili, naahidi kuwa muda wote wa ugeni nitaweka macho chini na sitoangalia kifuani kwako. Eee mola nisaidie. Tusemeni amen!
Mpaka huku nje tunaitwa wali mandondo aisee. Nalog offhivi kuna mbongo asiependa wali na maharage?
sidhani aisee
we utakua roysambu....Mpaka huku nje tunaitwa wali mandondo aisee. Nalog off
hivi kuna mbongo asiependa wali na maharage?
sidhani aisee
Hahahahaha lol! usisikie mkuu tena uwe wali wa nazi na mchele wa kunukia halafu pembeni kuna ndizi mbivu