Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,833
Jamani, nini faida ya onyesho hili kwa taifa letu la leo, utamaduni wetu na vizazi vijavyo?
Faida zipo, Na kama wewe huzipati hizo faida, haina maana kuwa Big Brother Africa haina faida.hakuna faida ktk jamii ni ufuska tuu ndugu yangu!na yale si maisha halisia ya mtaani
Aargh mjini nilichelewa aiseee.. Alikua anawekewa motomotoTulimuona Bhoke akifaidiwa
Akimegwa laivu. Yuko wapi siku hizi?Tulimuona Bhoke akifaidiwa
Faida zipo, Na kama wewe huzipati hizo faida, haina maana kuwa Big Brother Africa haina faida.
Kama wewe huzijui mimi nazijua na kuzifaidiWe umetoka Kigoma huko ndani ndani faida za Big brother unazijulia wapi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama wewe huzijui mimi nazijua na kuzifaidi