nimeomba ushauri na sio majungu
njoo nikugawie minofu basi mwayego:nimekataa
wadau jamani mimi najiona nimekonda nataka kunenepa kiasi flani hivi embu naombeni ushauri wenu''
Wailiana na huyu mleta mada katika hii link https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/343360-kupunguza-unene.html akupe maujanja ya unenepa na wewe umpe maujanja ya kukonda.
Au kama unaishi karibu na sehemu wanafuga nguruwe, nenda kajifunze vipi nguruwe anapata mlo wake.
Mbona amekwepa ile ya shemegi! hembu muulize huyo king'asti (baby) mwenzako jee yupo kwenye uhusiano, jee kuna
kitu kinamkwaza, isije ikawa wivu umemzidi halafu anaomba kunenepa!
Achananae. Unazidi kumkondesha. Hivi ukiwa na wivu unakonda eeh? Mbona mie nna wivu sana afu sikondi. Niliambiwa roho mbaya ndo inakondesha, ndo nimeanza hivooo.
Sasa na wewe unataka kunenepa ili ukapasuliwe mbao ama?
Kapime ngoma kwanza ili uwe na uhakika kwamba huko kukonda si matokeo ya maradhi, baada ya hapo ndiyo utafute ushauri wa jinsi ya kunenepa.
wadau jamani mimi najiona nimekonda nataka kunenepa kiasi flani hivi embu naombeni ushauri wenu''