PAS
JF-Expert Member
- May 3, 2010
- 454
- 8
Katika kipindi kilichopita cha kampeni za vyama, kila mgombea alijinadi kwa sera zake ikiwemo CCM ambao walitoa ahadi za kufa mtu ili mradi tu wapate kura za wananchi..
CCM ili ishinde mbinu wanayotumia ni kudhoofisha sekta ya elimu ili wananchi wasijue kamwe au wasielewe vizuri kuhusu haki zao za kijamii,kiuchumi na kisiasa.
Ukitaka kuona ilo katika elimu wao wanadanganya watu ktk kampeni kua shule zimeongezeka zaidi, lakini kiukweli hakuna walimu, vifaa,hata kama wapo walimu wachache basi mazingira ma malipo ya kazi ni mabaya.
Mfano mzuri alipokua kule mkoa wa manyara JK aliahidi maji kutoka mto ruvu, kwa watu ambao hawajui jografia wataona ni kitu rahisi hivyo wakampa kura .. Je hayo maji yavuke mito yote mikubwa kama wami, mito ya tanga moshin na mbaya zaidi hata ile ya jirani yao Arusha???
Loooh!!!! Kweli elimu wanayowapa ndugu zetu wasio wa mijini haitaweza kuwabadilisha hata ikifika 2015 mana ccm wamejiwekea mizizi ya UBINAFSI,TAMAA,Roho mbaya,Ukatili n.k.
Hii ni ule utawala waliotumia wakoloni (indirect method) ktk kawagawanya waafrika enzi hizo, na hadi leo bado waafrika walio wengi wanawaona wazungu kama mungu wao(wakoloni walipokuja afrki waliangalia lugha ya wenyeji na kuongezea maneno yao PIA WAKIJIFANYA NI WAMISHONARI ili tuwasujudie mfano walisema wao wanaitwa MZUNGU na aliewatuma kazi ya umishonari ni MUNGU.
Wito wangu kwa wanaJF hata kama kuna mtu wa chama gani tubadilike ili tuondokane na ilo janga mana nchi yetu ipo nyuma ..
TAFAKARI CHUKUA HATUA....haki elimuuuuu:A S-danger::A S-danger:
CCM ili ishinde mbinu wanayotumia ni kudhoofisha sekta ya elimu ili wananchi wasijue kamwe au wasielewe vizuri kuhusu haki zao za kijamii,kiuchumi na kisiasa.
Ukitaka kuona ilo katika elimu wao wanadanganya watu ktk kampeni kua shule zimeongezeka zaidi, lakini kiukweli hakuna walimu, vifaa,hata kama wapo walimu wachache basi mazingira ma malipo ya kazi ni mabaya.
Mfano mzuri alipokua kule mkoa wa manyara JK aliahidi maji kutoka mto ruvu, kwa watu ambao hawajui jografia wataona ni kitu rahisi hivyo wakampa kura .. Je hayo maji yavuke mito yote mikubwa kama wami, mito ya tanga moshin na mbaya zaidi hata ile ya jirani yao Arusha???
Loooh!!!! Kweli elimu wanayowapa ndugu zetu wasio wa mijini haitaweza kuwabadilisha hata ikifika 2015 mana ccm wamejiwekea mizizi ya UBINAFSI,TAMAA,Roho mbaya,Ukatili n.k.
Hii ni ule utawala waliotumia wakoloni (indirect method) ktk kawagawanya waafrika enzi hizo, na hadi leo bado waafrika walio wengi wanawaona wazungu kama mungu wao(wakoloni walipokuja afrki waliangalia lugha ya wenyeji na kuongezea maneno yao PIA WAKIJIFANYA NI WAMISHONARI ili tuwasujudie mfano walisema wao wanaitwa MZUNGU na aliewatuma kazi ya umishonari ni MUNGU.
Wito wangu kwa wanaJF hata kama kuna mtu wa chama gani tubadilike ili tuondokane na ilo janga mana nchi yetu ipo nyuma ..
TAFAKARI CHUKUA HATUA....haki elimuuuuu:A S-danger::A S-danger: