Faculty gani yakusomea chuo kikuu (first degree)

Kwaio kile kitabo chao ni useless.

Mkuu nadhan jamaa walikiandika bila mawasiliano vizuri na NECTA, mfano mtu mwenye CDD ni div4, DDD ni div4 so haiwezekani mtu mwenye 4 asome degree, ndiomana jamaa wamesema CC degree na C ni diploma.
 
can you explain 2 me why coz wen u luk out 4 da total points ts 6 whch mnz ts mo dan da 5 points ndd inordr 4 da prsn 2 aply thm n at da same tym thy ar both prncpz wch allwz one 2 apply 4 da unvrsty?

kweli hawa wanafunzi wa BRN ni majanga uandishi gani huu?
 
Mkuu nadhan jamaa walikiandika bila mawasiliano vizuri na NECTA, mfano mtu mwenye CDD ni div4, DDD ni div4 so haiwezekani mtu mwenye 4 asome degree, ndiomana jamaa wamesema CC degree na C ni diploma.

Kama qalikiandka bla ya mawaxliano mbna mpaka prncl walizconvrt from old to new system. Ndo Akuna mawacliano apo na wangetangaza ktk web yao mbna mm ilo tangazo cjaliona
 
Mkuu nadhan jamaa walikiandika bila mawasiliano vizuri na NECTA, mfano mtu mwenye CDD ni div4, DDD ni div4 so haiwezekani mtu mwenye 4 asome degree, ndiomana jamaa wamesema CC degree na C ni diploma.

Wapo wanafunz kibao wapo pale sntjosepg wana 4 wanachkua degre tena io old syatem yenu, kachanganye wengne
 
eys sikuwa na maana mbaya kuandika kifupi its just because nimezoea...so kama vipi just let it pass...i wont do it again kama vipi...

Mummy ucwaendekeze ao cz wana chuki bnafc. Kufpsha maneno ktka mitandao ni jambo la kawaida wala cjaona rule inaokataza Kufpsha maneno so ia just a jelous of success na msomi gani utakiwa na chuki ya maenfleo y mwenzako
 
Mummy ucwaendekeze ao cz wana chuki bnafc. Kufpsha maneno ktka mitandao ni jambo la kawaida wala cjaona rule inaokataza Kufpsha maneno so ia just a jelous of success na msomi gani utakiwa na chuki ya maenfleo y mwenzako

thanks wangu for your support
 
Kama qalikiandka bla ya mawaxliano mbna mpaka prncl walizconvrt from old to new system. Ndo Akuna mawacliano apo na wangetangaza ktk web yao mbna mm ilo tangazo cjaliona

kwa uandishi huu na point zako tutegemee engineer kilaza
 
Back
Top Bottom