Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Amepiga marufuku matumizi ya kifisadi ya watendaji wa wizara yake kulipana posho za hovyo hovyo, kununua mashangingi TANAPA badala ya magari ya porini, kusafiri nje ya nchi hovyo hovyo. Awasuta wajumbe wa bodi ambao ni mchwa.
Chanzo: Star tv taarifa ya saa mbili usiku
Chanzo: Star tv taarifa ya saa mbili usiku