Ezekekiel Maige: Tumtendee haki, wizara anayosimamia ni kubwa sana

Atendee haki Watanzania aachie ngazi akafundishe kama anavyotamba kwa Wabunge huko Dom
 
Tuache utetezi usio na mashiko, kama ni suala la ukubwa si wizara ya maliasili pekee, hata Tanzania ni kubwa kama alivyowahi kukiri Kikwete wakati flani bungeni. Sasa CDM waliwaambia hili li nchi ni li kubwa ili kupata ufanisi nchi igawanywe katika majimbo ili kurahisisha utawala na matumizi mazuri ya raslimali, mmeweka pamba masikioni. Hakuna ambaye angeshangaa kwamba mnatekeleza sera ya CDM, mbona suala la katiba ambalo halikuwa katika ilani yenu mmelichukua na hakuna anyepiga kelele kwakuwa ni jambo la heri?
 
Wadau wana JF, nimetafakari ukubwa wa Wizara ya Mali Asili na Utalii halafu nikaangalia usimamizi wake nikaona iko chini ya Waziri mmoja Ezekiel Maige bila naibu. Lakini kuna wizara zingine ndogo sana kama Wizara ya Jinsia na Watoto au Habari na Utangazaji zote zina Waziri na Naibu Waziri. Ingawaje wizara hizi zingeweza kuwa idara tu kwenye wizara zingine. Je JK ana kusudia nini kumuachia Waziri mwenye profile ya Ezekiel Maige dubwana kama hilo? Tunaweza tukawa tunamlaumu bure bwana Maige

Mkuu kwani hili ndo umeliona sasa????
Mbona hajwahi kuweka hili bayana kuwa inamuelemea?????
Kwa nguvu aliyonayo angeweza kuweka task force ambayo angeipa majukumu ya kuwa rught hand kwake
Na kama hoja ni hiyo.......bora lawama kuliko fedheha.....angenawa mikono!!!!!
 
Naomba msaada kwa yoyote anayeweza kutowekea audio ya mjadala wa jana jioni wa bunge,
 
Do you think Maige has enough capabilities to be the minister?

probably angekuwa waziri wa habari, but not crucial ministry like the one he is heading...

Probably this will shed light to you.....
 
Huyo jamana wako karibu sana na JK, inasemekana kwa kuwa alikuwa naibu pale, aliomba mwenyewe kwa JK asipewe naibu... nadhani kuna midili yao walitaka ipite bila kele kama za akina Ndungu na Mvutakamba, Chani na Nyarandu


Hivi mnajua manaibu mawaziri wengi ni watu wa ina gani?? Huwa wanatoka wapi?

No wonder jamaa hana naibu, ili watanue wanavyotaka.
 
Ni kweli wizara ya maliasili na utalii ni kubwa lakini amemudu kuingilia mchakato wa kugawa vitalu vya uwindaji kinyume na mapendekezo ya kamati na kwa makampuni ambayo hayana sifa.

Ni kweli wizara ni kubwa lakini alikubali uteuzi na anawajibika kuisimamia, kama ameshindwa anapaswa kumueleza aliyemteua kwamba wizara imemshinda, kama aliye,mteua hataki kukubaliana nae, nae anatambua kwamba ameshindwa kuimudu basi alipaswa kujiuzulu kuliko kujifanya king'ang'anizi huku akijua ameshindwa kazi.
 
Wizara kubwa!!?, wizara ikiwa kubwa si ndio safi kwa watu wenye akili kubwa!!? hebu fikiria vizuri madudu yaliyo kwenye hiyo wizara halafu rudia kusoma ulichoandika, kama unakili ndogo hata familia itakushinda kuiongoza.
 
Huyu ndiye mbunge aliyetoa msaada mkubwa kuliko wabunge wote kwenye majimbo yao wa maendeleo jimboni Milioni miatano (500m). Najiuliza pesa hizi alizitoa wapi? Je hiyo ndio pesa aliyonayo tu au alitoa sehemu ndogo ya pesa aliyonayo. Wakati umefika Mungu mwenyewe anaingilia kati kwa wizi huu unaofanyika na jua linawaka.
 
Wanajamvi, nimefuatilia michango yenu na naafiki muliyosema. Yule Mh Maige ni fisadi na aliyemteua anajua kinachoendelea.
 
Wadau wana JF, nimetafakari ukubwa wa Wizara ya Mali Asili na Utalii halafu nikaangalia usimamizi wake nikaona iko chini ya Waziri mmoja Ezekiel Maige bila naibu. Lakini kuna wizara zingine ndogo sana kama Wizara ya Jinsia na Watoto au Habari na Utangazaji zote zina Waziri na Naibu Waziri. Ingawaje wizara hizi zingeweza kuwa idara tu kwenye wizara zingine. Je JK ana kusudia nini kumuachia Waziri mwenye profile ya Ezekiel Maige dubwana kama hilo? Tunaweza tukawa tunamlaumu bure bwana Maige


Kwa maana hiyo ukubwa wa wizara ndo unasababisha afumbie macho ndani ya wizara yake? Hao wiga na wanyama wengine wakitoroshwa ndo wizara inapungua ukubwa au?

Ila tusikulaumu sana wewe, inawezekana Maige ni ndugu yako, kama ni hivyo una haki ya msingi kutetea sembe kwa ndugu yako.
 
Mtoa mada inaonekana huo ndo mwisho wa upeo wako wa kufikir la sivyo ucngemtetea huyo fisad magamba mwiz acye na huruma na mali asil za nchi
 
Wadau wana JF, nimetafakari ukubwa wa Wizara ya Mali Asili na Utalii halafu nikaangalia usimamizi wake nikaona iko chini ya Waziri mmoja Ezekiel Maige bila naibu. Lakini kuna wizara zingine ndogo sana kama Wizara ya Jinsia na Watoto au Habari na Utangazaji zote zina Waziri na Naibu Waziri. Ingawaje wizara hizi zingeweza kuwa idara tu kwenye wizara zingine. Je JK ana kusudia nini kumuachia Waziri mwenye profile ya Ezekiel Maige dubwana kama hilo? Tunaweza tukawa tunamlaumu bure bwana Maige

Huo ukubwa wa wizara umekuja sasa baada ya kufumaniwa ugoni??????
 
Kazi ni wajibu, tungeona mazuri mengi halafu mengine mabaya yangetusaidia kujua mzigo alionao. hata mi sikubali uzembe na ubinafsi usihalalishe matumimizi mabaya ya madaraka, hakuna kulala mpaka wamenyoka, tumechoka kusikia nyimbo zao kwa tune mpya content ya zamani.
 
Kazi ni wajibu, tungeona mazuri mengi halafu mengine mabaya yangetusaidia kujua mzigo alionao. hata mi sikubali uzembe na ubinafsi usihalalishe matumimizi mabaya ya madaraka, hakuna kulala mpaka wamenyoka, tumechoka kusikia nyimbo zao kwa tune mpya content ya zamani.


hata J.K Namuonea huruma nchi hii Kubwa kwake tumupumuzishe atii...
 
Huyo jamana wako karibu sana na JK, inasemekana kwa kuwa alikuwa naibu pale, aliomba mwenyewe kwa JK asipewe naibu... nadhani kuna midili yao walitaka ipite bila kele kama za akina Ndungu na Mvutakamba, Chani na Nyarandu

Hayo ndio mawazo yangu kwann JK alimweka peke? na kama ni kubwa alipata wapi muda wa kuwapa vibali vya uwindaji wageni hao wote? hilo lilikuwa dili lao tu
 
wewe nadhani umekosa la kuandika..............kama wizara ni kubwa aachie ngazi kwani bila yeye hii wizara haitafanya kazi***** kama kakutuma mwambie mwisho wake umefika no huruma hire,,,,,,,,,,,.
 
Back
Top Bottom