EXCLUSIVE: Wanaohitaji Michoro ya Ramani za Nyumba ndogo na simple

Habari wana JF
Nahitaji kujenga shule ya chekechea pia shule ya msingi. Eneo ni lenye ukubwa wa hekari tano, madarasa na ofisi zote ni za kawaida namaanisha sio ghorofa, ukubwa wa madarasa ni kulingana na standards za wizara ya elimu, facilities zote kama viwanja vya michezo nk lazima viwekwe kwenye ramani. Mtaalamu wa Ramani ani PM

Nawasilisha
 
Habari wana JF
Nahitaji kujenga shule ya chekechea pia shule ya msingi. Eneo ni lenye ukubwa wa hekari tano, madarasa na ofisi zote ni za kawaida namaanisha sio ghorofa, ukubwa wa madarasa ni kulingana na standards za wizara ya elimu, facilities zote kama viwanja vya michezo nk lazima viwekwe kwenye ramani. Mtaalamu wa Ramani ani PM

Nawasilisha
Your ph# au email please
 
habari wana jf
nahitaji kujenga shule ya chekechea pia shule ya msingi. Eneo ni lenye ukubwa wa hekari tano, madarasa na ofisi zote ni za kawaida namaanisha sio ghorofa, ukubwa wa madarasa ni kulingana na standards za wizara ya elimu, facilities zote kama viwanja vya michezo nk lazima viwekwe kwenye ramani. Mtaalamu wa ramani ani pm

nawasilisha

piga namba hii apa..
Huyu jamaa ni arctect mzuri saaana..
Mimi alishabicholea

0757399280
 
Mpigie dada mmoja alinichorea shule hakika hutajuta, ni mkali hakika. Namba yake 0713816000
 
Habari wana JF
Nahitaji kujenga shule ya chekechea pia shule ya msingi. Eneo ni lenye ukubwa wa hekari tano, madarasa na ofisi zote ni za kawaida namaanisha sio ghorofa, ukubwa wa madarasa ni kulingana na standards za wizara ya elimu, facilities zote kama viwanja vya michezo nk lazima viwekwe kwenye ramani. Mtaalamu wa Ramani ani PM

Nawasilisha

nipm.....
 
Back
Top Bottom