MWEEN
JF-Expert Member
- Feb 6, 2010
- 482
- 207
Wakuu,
Naomba kutoa hoja kwa vyama vya upinzani. Kuna majimbo mengi ambayo upinzania haukuweza kuweka mgombea, kuanzia ngazi ya udiwani, na ubunge. Hasa kwenye majimbo ambayo wamesema wamepita bila kupingwa.
Kuna uwezekano mkubwa watu wengi wakamchagua mgombea wa upinzani wa uraisi, na hapa ndipo upinzani hautakuwa na wasimamizi. Pia ni wazi kuwa vyama vitaangalia zaidi kwenye vituo walivyoweka wagombea, na kusahau kule wasikokuwa na wagombea.
CHADEMA, CUF, etc. Kuna mkakati gani wa kutuma waangalizi kwenye vituo hivyo??? Every vote count!!!
Naomba kutoa hoja kwa vyama vya upinzani. Kuna majimbo mengi ambayo upinzania haukuweza kuweka mgombea, kuanzia ngazi ya udiwani, na ubunge. Hasa kwenye majimbo ambayo wamesema wamepita bila kupingwa.
Kuna uwezekano mkubwa watu wengi wakamchagua mgombea wa upinzani wa uraisi, na hapa ndipo upinzani hautakuwa na wasimamizi. Pia ni wazi kuwa vyama vitaangalia zaidi kwenye vituo walivyoweka wagombea, na kusahau kule wasikokuwa na wagombea.
CHADEMA, CUF, etc. Kuna mkakati gani wa kutuma waangalizi kwenye vituo hivyo??? Every vote count!!!