Heshima kwenu wakuu, naomba kuuliza hivi unaweza kutumia king'amuzi cha startimes kwa kutumia hizi satelite dish za kawaida kama eurostar yenye LNB ya KU au C- band kwa sisi ambao hatujafikiwa na mtandao wao? naombeni mchango na maujanja yenu wakuu.
nawasilisha.
nawasilisha.