Wazungu ni wakweli, wawazi, wanajali na sio wabinafsi kinyume na kaka zetu weusi. Mi ndio maana nimeamua kwamba sasa hivi waswahili sitaki tena.
Wazungu ni wakweli, wawazi, wanajali na sio wabinafsi kinyume na kaka zetu weusi. Mi ndio maana nimeamua kwamba sasa hivi waswahili sitaki tena.
Hizi ni miongoni mwa mada ambazo ni ngumu kuchangia....
Hata hivyo, kila mtu anakuwa na mtazamo fulani kutegemea na mazingira + makuzi!
Tuwatakie kila la heri wote wanaotamani kutimiza ndoto zao!!
unajua zamani Dar ukikuta mdada wa kiswahili na mzungu
mostly walikuwa madada wa 'margot'
kiasi kwamba mimi nilikuwa nasikia kinyaa tu nikiona mdada mswahili yuko na mzungu
imeniathiri mpaka leo
Kwa manufaa ya kizazi cha sasa manake umesema zamani ukikuta......madada wa margot ndo wapi hao?
Unawaonaje wadada walio na mahusiano na wazungu?
Hizi ni miongoni mwa mada ambazo ni ngumu kuchangia....
Hata hivyo, kila mtu anakuwa na mtazamo fulani kutegemea na mazingira + makuzi!
Tuwatakie kila la heri wote wanaotamani kutimiza ndoto zao!!
Yaani hapa ni mwendo wa stereotypes tu. Wazungu hivi, Waafrika vile.
Haya mambo ya ku stereotype sijui yataisha lini.
maeneo ya posta kulikuwa na night club inaitwa 'margot'
ilkuwa maarufu kwa wazungu mabaharia na wadada wa kujiuza zamani
hapo tu ndo palikuwa kama kituo cha wadada wanaojiuza na kukutana wazungu..
so ilikuwa maarufu dada yeyote anaejiuza anaitwa wa 'margot'
hata kama hakujui huko 'margot'
kwani hiyo dignature yako sio stereo types?????
Kweli kabisa Babu DC, binafsi nawaona wenye hila tu,yaani waga wana sababu zaidi ya LOVE kuwa na msichana mweusi including utumwa wa aina fulani,...!!