nobody knows but me
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 525
- 362
Good boy. Pata kinywaji hapo ulipo kwa bei yoyote kwa bill Yangu.Mim kuna demu mmoja nilimfuma na rafiki yangu wa damu kabisa, nikawa sina jinsi kuachana na mshkaji haiwezekani no way out, demu akasema nawapenda wote, nikasepa then ikabidi nikubali matokeo, sasa hivi mim nipo na mshkaji tunamtunza demu mmoja na tunamlinda vilivyo leo nikila mzingo mwenzangu nae anakuja kula wiki ijayo tunampago wa kuja kumuoa tumweke ndani!
Ila kidemu ni kiaminivu wote 3 tuna share kila kitu kuanzia bank card, uzuri mmoja hawaijui jf wao ni instagram na fb, twiter,snap