The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
Ni binti wa 2nd year ktk moja ya vyuo vikuu hapa nchin ambae nimekuwa kwnye uhusiano nae kwa miez 8 sasa,nampenda na ananipenda pia.
Inshu iko hivi,mama yangu na ndugu zangu hawataki hata kumsikia baada ya kuwaeleza nia yangu ya kumuoa,wamekwenda mbali zaidi na wameahd kutonipa ushirikiano wowote wa kindugu kama nitamuoa.
Niliamua kumweleza mpnz wangu hali halisi,lakini ndo kwanza hajaelewa kitu na anadai ananipenda sana ha hayupo tayar kutengana na mimi,anasema yupo tayari kwa lolote lile na anaamini ipo siku wazaz watakubali.
Binafs sipo tayar kuingia kwenye ndoa isyo na baraka za wazazi wangu nawaheshimu sana na ninauthamin mchango wao ktk maendeleo yangu,vilevile namhurumia sana mpnz wangu kwa vile najua yatamkuta makubwa,na nimemwambia hali halis mpnz wangu lakn haelew kabisa,nampenda sana mpnz wangu lakin nawapenda na kuwaheshimu zaid wazaz wangu,wanasema wapo tayar niwaletee mwanamke wa kabila lolote lile kutoka Afrika watatoa baraka zao lakini si wa kabila lake(Mchaga).mbaya zaidi hata ndugu na marafk zangu wa karibu nao hawapo upande wangu,nampenda sana mpenzi wangu nae ananipenda pia..
Ushauri wenu ni muhimu sana wandugu,
nawasilisha....
Inshu iko hivi,mama yangu na ndugu zangu hawataki hata kumsikia baada ya kuwaeleza nia yangu ya kumuoa,wamekwenda mbali zaidi na wameahd kutonipa ushirikiano wowote wa kindugu kama nitamuoa.
Niliamua kumweleza mpnz wangu hali halisi,lakini ndo kwanza hajaelewa kitu na anadai ananipenda sana ha hayupo tayar kutengana na mimi,anasema yupo tayari kwa lolote lile na anaamini ipo siku wazaz watakubali.
Binafs sipo tayar kuingia kwenye ndoa isyo na baraka za wazazi wangu nawaheshimu sana na ninauthamin mchango wao ktk maendeleo yangu,vilevile namhurumia sana mpnz wangu kwa vile najua yatamkuta makubwa,na nimemwambia hali halis mpnz wangu lakn haelew kabisa,nampenda sana mpnz wangu lakin nawapenda na kuwaheshimu zaid wazaz wangu,wanasema wapo tayar niwaletee mwanamke wa kabila lolote lile kutoka Afrika watatoa baraka zao lakini si wa kabila lake(Mchaga).mbaya zaidi hata ndugu na marafk zangu wa karibu nao hawapo upande wangu,nampenda sana mpenzi wangu nae ananipenda pia..
Ushauri wenu ni muhimu sana wandugu,
nawasilisha....