Mchana huu RPC wa Arusha, Naibu DCI na Kamishna wa operation wameongea na waandishi wa habari na kusema hawakukosea kuvuruga maandamano ya CHADEMA eti kwa sababu kama yangeachwa yangeleta maafa makubwa sana zaidi ya yaliyotokea hiyo juzi. Wamesema waliosababisha yote hayo ni CHADEMA wala siyo Polisi.
My Take!
Hivi polisi wameshindwa Kama kulinda maandamano hadi yatakakoishia na wakaona njia rahisi ni kuyavuruga kwa kuvunja magari vioo na kuua watu jamani. Kweli polisi wetu wengi STD 7 na Form 4 thats why hawajui warespond vipi kwa tukio lililo mbele yao.
My Take!
Hivi polisi wameshindwa Kama kulinda maandamano hadi yatakakoishia na wakaona njia rahisi ni kuyavuruga kwa kuvunja magari vioo na kuua watu jamani. Kweli polisi wetu wengi STD 7 na Form 4 thats why hawajui warespond vipi kwa tukio lililo mbele yao.